Hao viongozi wa dini hiyo wanajifanya wako mstari wa mbele kupinga utoaji mimba na matumizi ya kinga wakati wa kujaamiiana na kujaribu kuwaasa waumini wenye mawazo hayo ni bora wavumilie,wazae hao watoto kisha kama hawawezi kuwalea ni bora wawapeleke kwao wakawalee,wakati na wenyewe wana maskandali kibao yanawaandama ya kunajisi hivyo vitoto.
Upo mkulu?Nadhani ujumbe utakuwa umekufurahisha huu!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.