Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
Askari Polisi wa Kituo Kikuu cha Morogoro, wakimrejesha mahakamani mtuhumiwa aliyetambuliwa kwa jina moja la Linus, mkazi wa mjini hapa, baada ya kukamatwa na wananchi akitimua mbio kutoka kortini muda mfupi kabla ya kuanza kwa kesi yake na wenzake ya wizi wa pikipiki katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro. (Picha na John Nditi).