Haki ya kuchukua mafao kutoka mifuko ya jamii

Mwaikibaki

JF-Expert Member
Mar 19, 2015
2,982
3,642
Habari wadau,

Kwa nyakati tofauti siku mbili hizi nimekutana na hizi taarifa juu ya haki ya mtumishi kuchukua mafao yake aliyochangia katika mifuko ya hifadhi ya jamii. Inavyoonekana kuna mabadiliko madogo ya kisheria yamefanyika kutoa uhuru huo abao "ulifinywa" hapo awali. Ningependa kufahamu kua mabadiliko haya yatafuta lile zuio la awali la fao la kujitoa au huu ni upepo wa muda tu?

Naomba mwenye maelezo ya kina haswa na tafsiri ya mabadiliko kisheria na namna ya utekelezaji wake atudadavulie hapa as naamini hapaharibiki neno humu.

Yote kwa yote shukrani kwa wote walioona hili suala kwa uzito wake.

IMG-20190915-WA0005.jpeg
 
Itakua ni habari njema sana kwa watumishi wa uma na sekta binafsi maana wapo wengi waliopunguzwa kazi lakini wakashindwa kupata stahiki zao kutokana na mabadiliko ya sheria ya mafao
 
Sijaelewa vizuri hoja yako. Ina maana hata wafanyakazi ambao muda wao Wa kustaafu haujafika ukomo wataruhusiwa kuchukua mafao yao waliyochangia? Nieleweshwe hapa tafadhali kwa aliyeelewa.
 
Kama hii ni kweli itakuwa vizur mno....
Hongera hiyo brain iliyofanya hivi
 
Habari wadau,

Kwa nyakati tofauti siku mbili hizi nimekutana na hizi taarifa juu ya haki ya mtumishi kuchukua mafao yake aliyochangia katika mifuko ya hifadhi ya jamii. Inavyoonekana kuna mabadiliko madogo ya kisheria yamefanyika kutoa uhuru huo abao "ulifinywa" hapo awali. Ningependa kufahamu kua mabadiliko haya yatafuta lile zuio la awali la fao la kujitoa au huu ni upepo wa muda tu?

Naomba mwenye maelezo ya kina haswa na tafsiri ya mabadiliko kisheria na namna ya utekelezaji wake atudadavulie hapa as naamini hapaharibiki neno humu.

Yote kwa yote shukrani kwa wote walioona hili suala kwa uzito wake.

View attachment 1208534
Road 2 2020
 
Kama hii ni kweli itakuwa vizur mno....
Hongera hiyo brain iliyofanya hivi
Bado nasubiri kusikia ufafanuzi zaidi kutoka mamlaka husika ila habari hii iko hapa:

 
Habari wadau,

Kwa nyakati tofauti siku mbili hizi nimekutana na hizi taarifa juu ya haki ya mtumishi kuchukua mafao yake aliyochangia katika mifuko ya hifadhi ya jamii. Inavyoonekana kuna mabadiliko madogo ya kisheria yamefanyika kutoa uhuru huo abao "ulifinywa" hapo awali. Ningependa kufahamu kua mabadiliko haya yatafuta lile zuio la awali la fao la kujitoa au huu ni upepo wa muda tu?

Naomba mwenye maelezo ya kina haswa na tafsiri ya mabadiliko kisheria na namna ya utekelezaji wake atudadavulie hapa as naamini hapaharibiki neno humu.

Yote kwa yote shukrani kwa wote walioona hili suala kwa uzito wake.

View attachment 1208534

Naomba na Mimi mnijulishe kuhusu jambo hili.

Nilifanya kazi huko nyumbani Tz kwa kipindi cha miaka kadhaa, kwa waajiri wawili tofauti.
Baadaye nilipata mkataba wa kazi ktk nchi zingine, niliamua kuomba likizo isiyokuwa NA malipo ya miaka kadhaa kutoka KWA mwajiri wangu wa pili, naye amenikubalia.Mpaka sasa nipo nafanya kazi nje nchi na nimekuwa nikihama kutoka nchi moja mpaka nyingine, NA KWA kweli sina Mipango tena ya kurudi kuja kufanya kazi tena huko nyumbani Tz. Lakini kwenye mafao yangu niliacha fedha nyingi tu wakati nilipokuwa naondoka huko.
1.Naomba kujulishwa, kupitia mabadiliko haya ya Sheria niinaweza kuja kuomba pesa zangu za mafao nilizokatwa wakati nilipoajiriwa huko Tz?
2.Kama jibu ni ndiyo, process zake za kuomba ni zipi?
3.Kama haiwezekani, je ninaweza kuja kuchukua mkopo kupitia KWA mwajiri wangu NA kisha baadaye mkopo ukalipwa kupitia mafao yangu hayo? Bado sijamtaarifu rasmi mwajiri wangu kuwa Mimi sina Mipango tena ya kurudi huko nyumbani Tz na kuendelea na kazi, nataka niandike barua ya kuacha kazi baada ya kupata mkopo KWA sababu sitaki hela zangu za mafao zije kuliwa NA mfuko wa pensheni.

Naombeni ushauri wenu wadau, ingawaje nimevamia Uzi wa MTU hapa.
 
Vipi habari ya Fao la Uzazi....maana tangu mifuko hi iunganishwe ofisi zote zinasema wamepokea maagizo toka kwa DG wasitoe mafao haya ya Uzazi....Mwenye taarifa na maelezo kuhusu hili atujuze
 
Hayo ni maandishi tu kiutekelezaji bado sana,majibu yao ni aliye na termination of contract ndoanaruhusiwa kufanya hizo process za kuchukua stahiki yake ila alie endcontract mwenyewe kutoka kwa mwajiri wake hupewi hata karatasi za kujaza

Cc Kingsmann
 
Naomba na Mimi mnijulishe kuhusu jambo hili.

Nilifanya kazi huko nyumbani Tz kwa kipindi cha miaka kadhaa, kwa waajiri wawili tofauti.
Baadaye nilipata mkataba wa kazi ktk nchi zingine, niliamua kuomba likizo isiyokuwa NA malipo ya miaka kadhaa kutoka KWA mwajiri wangu wa pili, naye amenikubalia.Mpaka sasa nipo nafanya kazi nje nchi na nimekuwa nikihama kutoka nchi moja mpaka nyingine, NA KWA kweli sina Mipango tena ya kurudi kuja kufanya kazi tena huko nyumbani Tz. Lakini kwenye mafao yangu niliacha fedha nyingi tu wakati nilipokuwa naondoka huko.
1.Naomba kujulishwa, kupitia mabadiliko haya ya Sheria niinaweza kuja kuomba pesa zangu za mafao nilizokatwa wakati nilipoajiriwa huko Tz?
2.Kama jibu ni ndiyo, process zake za kuomba ni zipi?
3.Kama haiwezekani, je ninaweza kuja kuchukua mkopo kupitia KWA mwajiri wangu NA kisha baadaye mkopo ukalipwa kupitia mafao yangu hayo? Bado sijamtaarifu rasmi mwajiri wangu kuwa Mimi sina Mipango tena ya kurudi huko nyumbani Tz na kuendelea na kazi, nataka niandike barua ya kuacha kazi baada ya kupata mkopo KWA sababu sitaki hela zangu za mafao zije kuliwa NA mfuko wa pensheni.

Naombeni ushauri wenu wadau, ingawaje nimevamia Uzi wa MTU hapa.
Mkuu hebu subiri kwanza maana ni kweli huu wa 9 wakati wa kikao cha Bunge ndio kumefanyika marekebisho ya sheria,pindi ufafanuzi ukitolewa tutajulishana
 
Hayo ni maandishi tu kiutekelezaji bado sana,majibu yao ni aliye na termination of contract ndoanaruhusiwa kufanya hizo process za kuchukua stahiki yake ila alie endcontract mwenyewe kutoka kwa mwajiri wake hupewi hata karatasi za kujaza

Cc Kingsmann

Duuuh! Aisee!!

Kama ndio Sheria yenyewe inasema hivi, hivyo basi nitarudi kuja kuchukua mkopo kupitia KWA mwajiri wangu.Nikishapata tu fedha za mkopo immediately nitaandika barua ya kuacha kazi, ili mwajiri wangu alazimike kurejesha mkopo wangu kupitia fedha zangu za mafao. Naona mabadiliko haya ya Sheria yamekuwa kama dhulma au 'wizi wa kimachomacho' KWA waajiriwa.
 
Naomba na Mimi mnijulishe kuhusu jambo hili.

Nilifanya kazi huko nyumbani Tz kwa kipindi cha miaka kadhaa, kwa waajiri wawili tofauti.
Baadaye nilipata mkataba wa kazi ktk nchi zingine, niliamua kuomba likizo isiyokuwa NA malipo ya miaka kadhaa kutoka KWA mwajiri wangu wa pili, naye amenikubalia.Mpaka sasa nipo nafanya kazi nje nchi na nimekuwa nikihama kutoka nchi moja mpaka nyingine, NA KWA kweli sina Mipango tena ya kurudi kuja kufanya kazi tena huko nyumbani Tz. Lakini kwenye mafao yangu niliacha fedha nyingi tu wakati nilipokuwa naondoka huko.
1.Naomba kujulishwa, kupitia mabadiliko haya ya Sheria niinaweza kuja kuomba pesa zangu za mafao nilizokatwa wakati nilipoajiriwa huko Tz?
2.Kama jibu ni ndiyo, process zake za kuomba ni zipi?
3.Kama haiwezekani, je ninaweza kuja kuchukua mkopo kupitia KWA mwajiri wangu NA kisha baadaye mkopo ukalipwa kupitia mafao yangu hayo? Bado sijamtaarifu rasmi mwajiri wangu kuwa Mimi sina Mipango tena ya kurudi huko nyumbani Tz na kuendelea na kazi, nataka niandike barua ya kuacha kazi baada ya kupata mkopo KWA sababu sitaki hela zangu za mafao zije kuliwa NA mfuko wa pensheni.

Naombeni ushauri wenu wadau, ingawaje nimevamia Uzi wa MTU hapa.
Kama huwa unakuja likizo, nenda ofisi husika ya mafao na mtu unayemwamini. Watakupa form ambayo utapeleka kwa wakili ili huyo mtu unayemwamini awe anafatilia kwa niaba yako.

Unaweza ukaamua hela ziingie kwako au kwake.
 
Kama huwa unakuja likizo, nenda ofisi husika ya mafao na mtu unayemwamini. Watakupa form ambayo utapeleka kwa wakili ili huyo mtu unayemwamini awe anafatilia kwa niaba yako.

Unaweza ukaamua hela ziingie kwako au kwake.

Okay
Je unalipwa kama malipo ya pensheni baada ya kustaafu au inakuwaje?
Taratibu zake zikoje za kuomba ili upate hizo pesa??

Kumbuka, bado sijafikia umri wa kustaafu , Mimi bado ni kijana sana.Pia, jumla ya miaka niliyofanya kazi huko nyumbani Tz haijafika miaka 15.

Vile vile, nipo ktk likizo isiyokuwa NA malipo, bado sijamtaarifu rasmi mwajiri wangu wa huko Tanzania kuwa sina nia tena ya kuendelea kufanya kazi kwake.
Nataka nimtaarifu baada ya kupata pesa zangu za mafao nilizokatwa nikiwa nafanya kazi huko Tz.
 
Naomba na Mimi mnijulishe kuhusu jambo hili.

Nilifanya kazi huko nyumbani Tz kwa kipindi cha miaka kadhaa, kwa waajiri wawili tofauti.
Baadaye nilipata mkataba wa kazi ktk nchi zingine, niliamua kuomba likizo isiyokuwa NA malipo ya miaka kadhaa kutoka KWA mwajiri wangu wa pili, naye amenikubalia.Mpaka sasa nipo nafanya kazi nje nchi na nimekuwa nikihama kutoka nchi moja mpaka nyingine, NA KWA kweli sina Mipango tena ya kurudi kuja kufanya kazi tena huko nyumbani Tz. Lakini kwenye mafao yangu niliacha fedha nyingi tu wakati nilipokuwa naondoka huko.
1.Naomba kujulishwa, kupitia mabadiliko haya ya Sheria niinaweza kuja kuomba pesa zangu za mafao nilizokatwa wakati nilipoajiriwa huko Tz?
2.Kama jibu ni ndiyo, process zake za kuomba ni zipi?
3.Kama haiwezekani, je ninaweza kuja kuchukua mkopo kupitia KWA mwajiri wangu NA kisha baadaye mkopo ukalipwa kupitia mafao yangu hayo? Bado sijamtaarifu rasmi mwajiri wangu kuwa Mimi sina Mipango tena ya kurudi huko nyumbani Tz na kuendelea na kazi, nataka niandike barua ya kuacha kazi baada ya kupata mkopo KWA sababu sitaki hela zangu za mafao zije kuliwa NA mfuko wa pensheni.

Naombeni ushauri wenu wadau, ingawaje nimevamia Uzi wa MTU hapa.
wewe upo likizo hujaacha kazi huwezi kupata mafao ,ongea na bosi wako akupe barua ya kukufukuza kazi kwanza ndio uanzie hapo
 
Back
Top Bottom