Haka ka'ugonjwa ni kwa wanawake wote au wangu tu?

Rafiki yangu amewahi kwenda beach na mkewe,mara haoni mtu akapiga simu akamwambia nipo nyumbani. Kumbe alisahau kuwa walienda wote. Tehe tehe
 
Tatizo sio usahaulifu, ila ni careless. Na ni kwa sababu anajua kuna mtu atakaye take care ndio maana wako yuko hivyo. Ukitaka kumweza tafuta kile anachopendelea zaidi halafu ww ufanye tofauti akizozana umkumbushie na yy anavyokosea pia
 
Ukiwa na mafua usione una ugonjwa mkubwa sana.Usahaulifu kwa kina mama ni common sana.Nikupe experience yangu.Mke wangu amebeba ufunguo wa kuingia ndani. Anafungua mlango anaingia ndani.Usiku ukifika anataka kufunga mlango ufunguo hauonekani - umepotea! Namuuliza: Si wewe ulifungua huu mlango? Anajibu ndio. Sasa ufunguo umeuweka wapi? Anashangaa hajui.Tumeshalala nyumba wazi mara mbili tatu hivi, na ilibidi kuondoa kitasa na kuweka kipya. Haya, simu sasa. Mungu wangu! Mara utasikia: Watoto! Nani kanionea simu yangu? Huwa namwokoa kwa kubeep na ataifukua katikati ya furushi la blanketi. Siku moja niliibeep nikasikia ikilia chooni!

Kwa hiyo Judgement usifikiri ni wewe pekee.Akina mama na kazi zao nyingi za kuhudumia nyumba(familia) zinawaongezea aina ya stress na usahaulifu usio wa kawaida.

ni kweli hali ipo nami nishaiona na kujitahidi kulifanya au kumweleza kila inapotea tena kwa upole
 
Last edited by a moderator:
yaani mmenisemaaa hadi mwisho mh mume wangu huwa anaongea sana then anatoa vitu nlivyovuruga. Mkeo atakua pacha wangu ktk tabia. Natamani kurekebika ntajitahidi.
 
Huo ni ugonjwa wake peke yake na ukoo wao,mimi nawajua vizuri sana hao wanaasili ya vichaa
 
Ukiwa na mafua usione una ugonjwa mkubwa sana.Usahaulifu kwa kina mama ni common sana.Nikupe experience yangu.Mke wangu amebeba ufunguo wa kuingia ndani. Anafungua mlango anaingia ndani.Usiku ukifika anataka kufunga mlango ufunguo hauonekani - umepotea! Namuuliza: Si wewe ulifungua huu mlango? Anajibu ndio. Sasa ufunguo umeuweka wapi? Anashangaa hajui.Tumeshalala nyumba wazi mara mbili tatu hivi, na ilibidi kuondoa kitasa na kuweka kipya. Haya, simu sasa. Mungu wangu! Mara utasikia: Watoto! Nani kanionea simu yangu? Huwa namwokoa kwa kubeep na ataifukua katikati ya furushi la blanketi. Siku moja niliibeep nikasikia ikilia chooni!

Kwa hiyo Judgement usifikiri ni wewe pekee.Akina mama na kazi zao nyingi za kuhudumia nyumba(familia) zinawaongezea aina ya stress na usahaulifu usio wa kawaida.

Kazi zetu nyingi jamani kutafuta pesa kumuwaza mume na kumcare asije akachepuka kazi (kwa walioajiriwa ama kujiajiri) watoto, wadada wa kazi , shughuli za kijamii na kujihudumia sisi wenyewe ni shidaaaaaaaaaa sio rahisi na wakati mwingine we need your support in sm issues nyie mko busy busy busy we handle things alone. Na hayo niliyoyaeleza ni daily hujaweka ya wakwe mashemeji ndugu zako wazazi wako jamani ndio hivyo.mi nimesafisha nyumba nikaona funguo ya mme wangu imeanguka nikasema ngoja nimuhifadhie nikaiweka sijui wapi mwenyewe anaitaka sijui ipo wapi ikabid nikaushe nikiipata nitamwambia nilimisplace. Ni shidaaaaaaaaaa
Ila na nyinyi wenzetu mnamaudhiiii tunavumiliana tu hivyohivyo
 
Last edited by a moderator:
Potezea tu banaaaaa hata kama kuna bifu, yeye sidhani kama anagoma kuingia jikoni mkiwa na bifu.

Yaani ukisemacho BAK ndiyo sera yangu .
Sema hutokea zile siku tuna bifu zetu, hapo hua kila nikikutacho tenge ntakiacha kama kilivyo.
 
Back
Top Bottom