EMMYGUY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 10,859
- 24,838
Kuna siri kubwa sana ya hawa watu maarufu na mambo wanayowafanya.Wee tuko pmj siyo haya mijitu mengine mtu anakwepa Kodi mnashangiliaa Kama majitu
Kuna siri kubwa sana ya hawa watu maarufu na mambo wanayowafanya.Wee tuko pmj siyo haya mijitu mengine mtu anakwepa Kodi mnashangiliaa Kama majitu
Ukiwa katika Hali ya kukosa unajikuta unachukia tuu kuisikia habar za flan kajenga au ana gari au amepata kaziKakasome Monetary Economy... Haitomsumbua ... Hata akisoma Environmental Economics and Natural resources (Kwa kipengele Cha urithi ) ... Hata nchi inarithisha vizazi Kwa vizazi maliasili na mazingira.... Machukizo ni kuuachwa bila urithi na unaona jirani anatoboa...niliumia sana .. ila Kwa Sasa vizazi vyangu viwili vitaishi sijui hao watawaachiaje vizazi vyao .... Amini nakwambia chuki kubwa ni UMASKINI WETU...TUNACHUKIA WALIOFANIKIWA BILA SABABU YEYOTE...
🤣🤣Kwenda uko mbuz wew
Kipindi kile alidai analipwa jiwe 7 si ndioKila mwaka jamaa anafanya matukio ya ajabu ajabu kama siyo kuoa Ni birthday nw Kama siyo birty Basi nikuoa, leo January 18 Ni birthday yake wkt huo huo kutakuwa na tukio la engagement na bint tapeli wa kutoka Tanga muweza
Tukio pia litakuwa live mubashara DStv amelipia milion 50 tukio liruke live
Hoja
Hivi mwanaume mzima unafanya birthday Kila mwaka kwa kuteketeza mamilion ya shilingi for a single night ? Alfi baadae mwezi miwili unachwa na kuanza kulalaimikia wanawake
HV wazazi wake hawawezi kukaa nae chini wamueleze ukweli kuwa SASa mwanangu cheupe tumechoka na.ndoa zako za Kila mwaka Safari hi iwe ya mwisho
Huwenda manara Ana biashara yake nyuma inamuingizia pesa chafuu na Kisha kuzitumia kwenye mamb Kama haya
Kuna mijitu itanitukana kwamba nitafute pesa ,sawa pesa natafuta San ila siyo kutanya ujinga na matukio ya hovyo hovyo
View attachment 2875792
acha ujinga wewe, kama manara anafanya kufuru asiambiwe? Siku akiugua tusisikie anaombaomba mchango akatibiwePunguza makasiriko Kaka... Nimekuja kujua Hilo Kwa kuchelewa Sana.... Umaskini wetu usiwe chukizo Kwa wenye vipato tutafute. ....
Kama hadi ruge aliomba.. Prof J aliomba msaada so kesho hatuijui ishi leo yako vizuri uwezavyooo. Acha manara ajiliee vyakeeacha ujinga wewe, kama manara anafanya kufuru asiambiwe? Siku akiugua tusisikie anaombaomba mchango akatibiwe
Alishakuomba!??.... Hajawahi kuugua ..... !?? Punguza makasiriko..... Tafuta Hela .....acha ujinga wewe, kama manara anafanya kufuru asiambiwe? Siku akiugua tusisikie anaombaomba mchango akatibiwe
Nilivyoliona mimi tukio zima ni biashara ile.Kila mwaka jamaa anafanya matukio ya ajabu ajabu kama siyo kuoa Ni birthday nw Kama siyo birty Basi nikuoa, leo January 18 Ni birthday yake wkt huo huo kutakuwa na tukio la engagement na bint tapeli wa kutoka Tanga muweza
Tukio pia litakuwa live mubashara DStv amelipia milion 50 tukio liruke live
Hoja
Hivi mwanaume mzima unafanya birthday Kila mwaka kwa kuteketeza mamilion ya shilingi for a single night ? Alfi baadae mwezi miwili unachwa na kuanza kulalaimikia wanawake
HV wazazi wake hawawezi kukaa nae chini wamueleze ukweli kuwa SASa mwanangu cheupe tumechoka na.ndoa zako za Kila mwaka Safari hi iwe ya mwisho
Huwenda manara Ana biashara yake nyuma inamuingizia pesa chafuu na Kisha kuzitumia kwenye mamb Kama haya
Kuna mijitu itanitukana kwamba nitafute pesa ,sawa pesa natafuta San ila siyo kutanya ujinga na matukio ya hovyo hovyo
View attachment 2875792
Nadhani mtu anapaswa kutumia hela yake kwa namna anavyotaka yeye mweyewe. Kujadili matumizi ya pesa ya mtu mwingine ni tatizo kubwa sana.What is joy
Joy is waste of money and time
Angetulia ccm angekua mbali, hivi pamoja na mbwembwe zote amekumbuka kujenga kweli manake apartment analipiwa na GSM gari alinunuliwa na GSM na anapenda kuwa karibu sana na waarabu, si watu wazuri hawana vya ewala ewala.Manara hajaanza leo utapeli Alishatimuliwa ccm Mkoa wa DSM kwa utapeli , Picha za namna akivyopigwa pingu zimo humu jf
Yaani mpaka ccm ikufukuze kwa wizi basi ujue wewe ni balaa , huyu Decemba atatangaza ndoa nyingine ili akina GSM na Mzee wa Msoga wamchangie tena hela , hana aibu yaani
Kwa ruge ndo nilishangaa mm siku zote nilijua alikua tycoon,Kama hadi ruge aliomba.. Prof J aliomba msaada so kesho hatuijui ishi leo yako vizuri uwezavyooo. Acha manara ajiliee vyakee
"Tanga muweza" jina sahihi ni Tanga Muheza.Kila mwaka jamaa anafanya matukio ya ajabu ajabu kama siyo kuoa Ni birthday nw Kama siyo birty Basi nikuoa, leo January 18 Ni birthday yake wkt huo huo kutakuwa na tukio la engagement na bint tapeli wa kutoka Tanga muweza
Tukio pia litakuwa live mubashara DStv amelipia milion 50 tukio liruke live
Hoja
Hivi mwanaume mzima unafanya birthday Kila mwaka kwa kuteketeza mamilion ya shilingi for a single night ? Alfi baadae mwezi miwili unachwa na kuanza kulalaimikia wanawake
HV wazazi wake hawawezi kukaa nae chini wamueleze ukweli kuwa SASa mwanangu cheupe tumechoka na.ndoa zako za Kila mwaka Safari hi iwe ya mwisho
Huwenda manara Ana biashara yake nyuma inamuingizia pesa chafuu na Kisha kuzitumia kwenye mamb Kama haya
Kuna mijitu itanitukana kwamba nitafute pesa ,sawa pesa natafuta San ila siyo kutanya ujinga na matukio ya hovyo hovyo
View attachment 2875792
Wazazi pia hupata zawadi hivyo hawawezi kumkataza lakini pia kijsna ni kopi ya baba yake kama ulikuwa haulijui hilo.Kila mwaka jamaa anafanya matukio ya ajabu ajabu kama siyo kuoa Ni birthday nw Kama siyo birty Basi nikuoa, leo January 18 Ni birthday yake wkt huo huo kutakuwa na tukio la engagement na bint tapeli wa kutoka Tanga muweza
Tukio pia litakuwa live mubashara DStv amelipia milion 50 tukio liruke live
Hoja
Hivi mwanaume mzima unafanya birthday Kila mwaka kwa kuteketeza mamilion ya shilingi for a single night ? Alfi baadae mwezi miwili unachwa na kuanza kulalaimikia wanawake
HV wazazi wake hawawezi kukaa nae chini wamueleze ukweli kuwa SASa mwanangu cheupe tumechoka na.ndoa zako za Kila mwaka Safari hi iwe ya mwisho
Huwenda manara Ana biashara yake nyuma inamuingizia pesa chafuu na Kisha kuzitumia kwenye mamb Kama haya
Kuna mijitu itanitukana kwamba nitafute pesa ,sawa pesa natafuta San ila siyo kutanya ujinga na matukio ya hovyo hovyo
View attachment 2875792