GY
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 1,279
- 126
Si wote wanaokimbilia Haiti na Kilosa wanalengo la kusaidia. Ni mapema mno kufanya kama wafanyavyo mataifa makubwa kuhusu Haiti, kwani kwayo ajenda ya kusaidia ni tofauti kabisa
Vyovyote iwavyo, ya Haiti ni janga lisilokuwa limetarajiwa, lakini ya Kilosa tulijua muda mrefu kuwa kuna mvua nyingi kuliko kawaida ivo hatari ya mafuriko. Serikali inawizara na bajeti ya kushulikia maafa, na mafuriko ya wilaya moja hayawezi kuishinda wizara kumudu mpaka kutoa nafasi kwa kila atakaye kupanda juu kisiasa na kibiashara kupitia tatizo hili apate upenyo
Nasema ivi, ya Haiti sawa, lakini ya Kilosa situmi hata msg moja kuchangia wakati tatizo li ndani ya serikali. wacha hao wanaotaka kutumia suala hili dogo wapate kujitangaza kibiashara na kisiasa wafanye ivo. Si tumeambiwa Libya wanajenga nyumba 200 kwa Tsh 1.5 bilion. Iwapi mizania ya kulinganisha hifadhi ya familia 200 na ile moja ya gavana wa benki kuu kwa gharama ileile?
Tusidanganywe, serikali inuwezo wa kukabiliana na hili la kilosa, tusichange!
Narudia...Tusichange
Vyovyote iwavyo, ya Haiti ni janga lisilokuwa limetarajiwa, lakini ya Kilosa tulijua muda mrefu kuwa kuna mvua nyingi kuliko kawaida ivo hatari ya mafuriko. Serikali inawizara na bajeti ya kushulikia maafa, na mafuriko ya wilaya moja hayawezi kuishinda wizara kumudu mpaka kutoa nafasi kwa kila atakaye kupanda juu kisiasa na kibiashara kupitia tatizo hili apate upenyo
Nasema ivi, ya Haiti sawa, lakini ya Kilosa situmi hata msg moja kuchangia wakati tatizo li ndani ya serikali. wacha hao wanaotaka kutumia suala hili dogo wapate kujitangaza kibiashara na kisiasa wafanye ivo. Si tumeambiwa Libya wanajenga nyumba 200 kwa Tsh 1.5 bilion. Iwapi mizania ya kulinganisha hifadhi ya familia 200 na ile moja ya gavana wa benki kuu kwa gharama ileile?
Tusidanganywe, serikali inuwezo wa kukabiliana na hili la kilosa, tusichange!
Narudia...Tusichange