Haipiti wiki naota napiga pepa la form 4

Duuh, tupo wengi kumbe.. Ndoto hii mimi nimeota Mara nyingi Sana ilinisumbua Sana kupata maana lakini Mungu ni mwema, wachangiaji hapo juu wameeleza vizuri sana. Mtihani katika ndoto ni maisha, kuna jambo halijakaa Sawa in your life either ni challenge iliyo juu ya uwezo wako (kama unaota unaingia kwenye paper hujajindaa au wengine wanamaliza we ndio kwanza hujajaza kitu etc), kama ni kazi au biashara ongeza juhudi na ubunifu. Mwombe Mungu itaisha tu.. Kwangu mimi sijazipata kitambo
 
KIIMANI KUNA JARIBU UNAPITA UNAKUMBUSHWA UCHAKARIKE ULIVUKE..

KUNASEHEMU/KIUCHUMI/KIKAZI/ ETC UNATAKIWA KUFIKA LAKINI UMEBAKI STAGNANT.

NDOTO YA NAMNA HIYOO NI NZURI UKIJIONGEZA TU UNATOBOA KIU YA UNACHOHITAJI KWA MDA MREFU.

SALIIIIIIIIIIIIIIIIII

MUHIMU: FATA HUU USHAURI UKIFANIKIA USISAHAU KULETA MREJESHO.
Umejibu vyema! kiroho anaonyeshwa kuwa kunajaribu mbele yake! na hajajiandaa! mwambie Yesu atakusadia.
 
Salaam ndugu wanajukwaa natumai mu wazima. Tatizo langu ni moja tu, ni tatizo ambalo limekuwa likinisumbua tangu mwanzoni mwa mwaka labda pengine jukwaa hili la madokta naweza pata ufumbuzi.

Yaani pamoja na kuwa nimepata digrii ya halali bila kufoji vyeti miaka zaidi ya mitano iliyopita ila bado naandamwa na ndoto ambayo imekuwa ikinipa tabu sana, wakati mwingine naota kesho ndio pepa la necta halafu sijasoma kabisa, wakati mwingine ndio nimeanza pepa halafu hakuna nnachojua, wakati mwingine nimechelewa kuingia kwenye pepa, yaani pepa linakaribia kuisha mi ndo naingia.

Nikistuka najiskia vibaya sana kwa muda halafu fahamu zikiniijia nafurahi kwamba kumbe hiyo stage nilishavuka kitambo. Nini chanzo cha ndoto hizi, na kwanini zimeanza mwaka huu na zimekuwa zikijirudia rudia?
Kama utapata mda ingia youtube kuanzia saa kumi jioni Mwl Christopher Mwakasege anasemina na anaelezea kuhusu ndoto. Hope unaweza kupata ufafanuzi utakao kutoa hapo.
 
Hayupo duniani kivipi wakati ndiyo anakulipa pesa kushinda hapa jf kumtetea?

Tena mpe Bashite hongera zake lile bao la mkono limezaa matunda tayari shemeji kitumbo kimevimba baada ya wazungu kusokomezea bao lake kwa mkono mpaka mimba ikanasa.
841d910079801b02b377633ca0d77279.jpg

Bado sijui unamuongelea nani.

Acha kupost picha bila kumuogopa muumba na roho mtakatifu, ambaye alimshukia siku hiyo hadi akatoa machozi ya furaha.
 
Hapana mkuu nilifaulu nikachaguliwa kuendelea na A-Level, sikuwahi kuwa kilaza wa kiwango hiko
Mkuu mm huwa inanitokea lakn huwa naota pepa ya form 6 mara kwa mara. Mm nadhani ni kwa kuwa elimu ya A level ndio illikuwa ngumu kwangu kuliko level yoyote ya elimu niliyowah kupitia
 
Salaam ndugu wanajukwaa natumai mu wazima. Tatizo langu ni moja tu, ni tatizo ambalo limekuwa likinisumbua tangu mwanzoni mwa mwaka labda pengine jukwaa hili la madokta naweza pata ufumbuzi.

Yaani pamoja na kuwa nimepata digrii ya halali bila kufoji vyeti miaka zaidi ya mitano iliyopita ila bado naandamwa na ndoto ambayo imekuwa ikinipa tabu sana, wakati mwingine naota kesho ndio pepa la necta halafu sijasoma kabisa, wakati mwingine ndio nimeanza pepa halafu hakuna nnachojua, wakati mwingine nimechelewa kuingia kwenye pepa, yaani pepa linakaribia kuisha mi ndo naingia.

Nikistuka najiskia vibaya sana kwa muda halafu fahamu zikiniijia nafurahi kwamba kumbe hiyo stage nilishavuka kitambo. Nini chanzo cha ndoto hizi, na kwanini zimeanza mwaka huu na zimekuwa zikijirudia rudia?[/QUOTE
Ndoto za namna hiyo zinatokana na maisha na athari ya kisaikolojia iliyojengeka wakati ukiwa kidato cha nne au wakati ukijiandaa kwa mitihani, fikra/hofu zako ulizielekeza sana kwenye tukio hilo hivyo kujijenga katika memory. wengi hupatwa na tatizo hilo,ambapo wengine huota mara kwa mara wapo shule wakiwa assembly wakicheza mpira, darasani n.k japo wamemaliza miaka kadhaa iliyopita, na ndoto nyingi huhusisha maisha ya sekondari.
 
Salaam ndugu wanajukwaa natumai mu wazima. Tatizo langu ni moja tu, ni tatizo ambalo limekuwa likinisumbua tangu mwanzoni mwa mwaka labda pengine jukwaa hili la madokta naweza pata ufumbuzi.

Yaani pamoja na kuwa nimepata digrii ya halali bila kufoji vyeti miaka zaidi ya mitano iliyopita ila bado naandamwa na ndoto ambayo imekuwa ikinipa tabu sana, wakati mwingine naota kesho ndio pepa la necta halafu sijasoma kabisa, wakati mwingine ndio nimeanza pepa halafu hakuna nnachojua, wakati mwingine nimechelewa kuingia kwenye pepa, yaani pepa linakaribia kuisha mi ndo naingia.

Nikistuka najiskia vibaya sana kwa muda halafu fahamu zikiniijia nafurahi kwamba kumbe hiyo stage nilishavuka kitambo. Nini chanzo cha ndoto hizi, na kwanini zimeanza mwaka huu na zimekuwa zikijirudia rudia?
Dah! yani umepiga fotokopi tatizo langu, sema mimi hainitokei kila wiki, no baada ya muda flani
 
Katika ulimwengu wa kiroho ni ishara kuwa umekwama kimaisha. Unaweza ukaona kama mbona upo poa lakini inaashiria hata hapo ulipofikia unaweza kwenda mbele zaidi kimaisha. Hii ndio maana yake.

Sasa kwa nini urudie kuota mara kwa mara? Hii ina maana kwamba kuna maandalizi kabambe unatakiwa kufanya ili uvuke hapo ulipokwama. Ukishayapatia tu hayo maandalizi ndoto hutoweka. Ningekuwa nafahamu maisha yako halisi ningeweza kupata idea ya nini unachopaswa kufanya so far. Ukishamaliza kujiandaa vema na ku exploit vizuri hio outcome ya maandalizi yako then mambo yako yananyooka sawa na namna inavyopaswa kuwa.

Hii ni taarifa muhimu sana katika mwenendo mzima wa maisha yako. Unapaswa kumshukuru Mungu sana kwa taarifa hii nzuri inayokuonyesha nini cha kufanya.

Kwa nn ndoto ni ya f4 na sio drs7 na sio f6 na sio UE ilhali umepitia mitihani ya chuo? Jibu ni kwamba inaashiria daraja ama uwezo ama uzito wa maandalizi ya kufanyika. F4 ni four years hivyo maandalizi ni ya muda mrefu kidogo kulinganisha na f6 ambayo ni 2 years ama chuo ambayo probably ni 3 years to 4 to 5 years.

Tahadhari: Kuna ulimwengu wa kiroho na ulimwengu wa kimwili. Hii tafsiri ni ya ulimwengu wa kiroho. Kuna wengi hawataweza kuelewa hii tafsiri.
Inabidi nikutafute
 
Exams

To dream of taking an exam represents a very challenging situation in your life that may require your complete focus or dedication. A challenge that may foster powerful uncertainties, require a lot of preparation, or put a lot at stake. An exam dream may stand as a barometer of pressure you're feeling.

To dream of failing an examination may reflect an inability to prove yourself, overcome a challenge, or a sense of personal failure. Feeling that you didn't perform adequately or live up to expectations. It may also reflect your worst fear coming true.

To dream of being unprepared for an exam may reflect your feeling of lacking of preparation or that you didn't listen to a warning. Feeling accountable for the failure of a project or plan. You may be expecting too much of yourself.
Tests

To dream of a test represents a challenging situation in your life. You may be having an experience that you've never had before, facing competition, or finding yourself in a situation with no guarantees. A situation may require you to demonstrate your abilities. A test could also reflect a fight, an ordeal, or a sense of pressure. A situation that you feel is testing you or placing your self-respect on the line.

To dream of failing a test represents a challenge, fight, or ordeal that you were unprepared for, gave in to, or choose to walk away from. You may not have done everything you could have to solve a problem or confront a challenge. The dream may also reflect your fear of failure.

To dream of doing well on a test represents your confidence, feelings of being ready, or that you ready to prove yourself. Feeling competent or proud of your outstanding performance in some area of your life. Negatively, performing well on a test may reflect arrogance or insensitivity towards others while you perform exceptionally at something. Preoccupation with nothing except proving yourself to be a winner at the expense of others feelings. Issues with bragging too much. No sense of humor about losing.

To dream of being late for a test represents challenges you were unprepared for or were too distracted to deal with. It may be a sign that priorities are not straight, or a lack of responsibility.

To dream of cheating on a test represents a lack of concern for ethics, honesty, or earning something on your own. It may also reflect a lack of respect for a situation that requires integrity. it may also reflect waking life situations where you are not afraid of breaking the rules if you need to. Low standards. Cutting corners.

To dream of being caught cheating on a test represents feelings of being forced to stop dishonest behavior. It may also reflect embarrassment, shame, or having done something with low standards. Being caught acting unprofessional.

To dream of having trouble finding a room the take your test in may reflect feelings about wanting to prove yourself, but not knowing how to go about it.

To dream of running out of time while taking a test may reflect a heightened sense of pressure or having an inadequate amount of time to prove yourself in a waking life situation.

To dream of having to test a test that you haven't studied for represents feelings about being unprepared to meet a waking like challenge. Confronting an unfamiliar challenge.

Example: A young man dreamed of cheating on a test. In waking life he felt he was taking a lot of shortcuts with an important challenging work project to save time that he felt was reducing quality of the work.

Example 2: A man dreamed of being nervous about taking a test. In waking life he was a lawyer about to have his first criminal trial in court.
 
Ukiota ndoto yoyote usihangaike kujua tafsir cha msingi jua ni nzur au mbaya, kama inaashiria kurud nyuma au kushindwa, ikemee, ikatae isitokee maana ndoto zinakuja kwanamna ya mafumbo
 
Kama wengine walivosema ni kweli tatizo lako ni la kiroho zaidi. Hizo ni spirit chafu ambazo ziko kwa ajili ya kukurudisha nyuma ili usivuke hatua moja ya maendeleo kwenda hatua nyingine. Nenda kwenye maombi kabla hujachelewa.
 
Kwa wote mnaosumbuliwa na hali hii, tambueni kuwa haya ni matokeo ya hujuma au dhulma mlizozifanya kipindi cha mitihani yenu. . .
Sababu ni kuwa inawezekaka MLI-CHEAT kwa kuiba paper/mitihani ndio maana roho ya majuto inawafatilia AU MLIFANYA UDANGANYIFU wa kuibiana kwenye mtihani either kwa kujichora au kuingia na vibuti/vikaratasi ambavyo inakatazwa.

Tafakari maovu yako uliyofanya majira ya mitihani. . kuanzia la std 4, 7 , form4, 6 hadi chuo. .
 
Salaam ndugu wanajukwaa natumai mu wazima. Tatizo langu ni moja tu, ni tatizo ambalo limekuwa likinisumbua tangu mwanzoni mwa mwaka labda pengine jukwaa hili la madokta naweza pata ufumbuzi.

Yaani pamoja na kuwa nimepata digrii ya halali bila kufoji vyeti miaka zaidi ya mitano iliyopita ila bado naandamwa na ndoto ambayo imekuwa ikinipa tabu sana, wakati mwingine naota kesho ndio pepa la necta halafu sijasoma kabisa, wakati mwingine ndio nimeanza pepa halafu hakuna nnachojua, wakati mwingine nimechelewa kuingia kwenye pepa, yaani pepa linakaribia kuisha mi ndo naingia.

Nikistuka najiskia vibaya sana kwa muda halafu fahamu zikiniijia nafurahi kwamba kumbe hiyo stage nilishavuka kitambo. Nini chanzo cha ndoto hizi, na kwanini zimeanza mwaka huu na zimekuwa zikijirudia rudia?
Mwaka 2014 nlikuwa naota hizo ndoto kila siku hapo nlikuwa chuo... Naota naingia mtihan wa form 4 halaf sijasoma chochote. Nlikuwa naamka usingizin naliaaaaa
 
EXAMINATION DREAMS
In examination dreams, which Freud
considered to be "typical dreams," the
dreamer sees himself back at school taking
an examination.
Freud mentions this type of dream several
times in The Interpretation of Dreams (1900a).
The dreamer is embarrassed to see himself as
an adult among much younger fellow
students and obliged to retake an
examination that he already passed a long
time ago. "It would seem, then, that anxious
examination dreams (which, as has been
confirmed over and over again, appear when
the dreamer has some responsible activity
ahead of him next day and is afraid there
may be a fiasco)" (1900a, p. 274). The
meaning of the dream would be: "Don't be
afraid of tomorrow! Just think how anxious
you were before your Matriculation, and yet
nothing happened to you"
Note. Ndoto hii huwajia watu walio pasi mtihani tu. Kamwe mtu aliyepiga f f f f haoti ndoto ya kurudia mtihani!
huo mstari wa mwisho ndio umeniacha hoi hahahahahah.....:D:D
 
Hayo ni mambo ya kawaida kwa kila binadamu shaka ondoa inaonyesha jinsi gani ulikuwa unapenda kubukua
anapenda kubukua kivip yaani..? maana amekwambia anaota anaingia chumba cha mtihani hajui kitu yaaani zeroo..:D
 
Salaam ndugu wanajukwaa natumai mu wazima. Tatizo langu ni moja tu, ni tatizo ambalo limekuwa likinisumbua tangu mwanzoni mwa mwaka labda pengine jukwaa hili la madokta naweza pata ufumbuzi.

Yaani pamoja na kuwa nimepata digrii ya halali bila kufoji vyeti miaka zaidi ya mitano iliyopita ila bado naandamwa na ndoto ambayo imekuwa ikinipa tabu sana, wakati mwingine naota kesho ndio pepa la necta halafu sijasoma kabisa, wakati mwingine ndio nimeanza pepa halafu hakuna nnachojua, wakati mwingine nimechelewa kuingia kwenye pepa, yaani pepa linakaribia kuisha mi ndo naingia.

Nikistuka najiskia vibaya sana kwa muda halafu fahamu zikiniijia nafurahi kwamba kumbe hiyo stage nilishavuka kitambo. Nini chanzo cha ndoto hizi, na kwanini zimeanza mwaka huu na zimekuwa zikijirudia rudia?
Binafsi siko mbali na wew mm baada ya kuhitm kidato cha nne nilpngiwa shule moja huko kanda ya ziwa kwa bahat mbaya sikuweza maliza kwa sabbu za kiafya baada ya kupta nafuu miaka 4 baadaye niliamua kurudi kusoma lakin niliamua kuanza na Level ya cheti chuo kikuu then diploma mpaka sasa nimemaliza degree nina miaka 2sasa cha kushangaza ni kwmba napta ndoto kuwa niko ndani ya paper la frm 6 huku nikiwa nimechelew kuingia kwnye paper mara cjui cha kujib mauza uza kibao
 
Back
Top Bottom