Hafiz Konkon Leo hii hii ilifaa alipwe kiinua Mgongo chake na aombewe Lifti aondoke na Medeama

Malaika wa Misukosuko

JF-Expert Member
Jul 16, 2021
1,603
4,762
Kama Kichwa cha Uzi kinavyojieleza hapo, kiukweli huyo Jamaa ni hakuna mchezaji hapo Ball control 2%, Passing accuracy 0.5%, Shooting accuracy 1%,
download (1).jpeg


Kiufupi Huyo Hafiz hakuna mchezaji hapo leo hii hii ilifaa alipwe kiinua mgongo chake na aombewe Lift kwa Medeama wakamuache karibu na nyumbani aendelee na Maisha mengine akisubiri Timu nyngne iingie mkenge kumsajili.
 
Kama Kichwa cha Uzi kinavyojieleza hapo, kiukweli huyo Jamaa ni hakuna mchezaji hapo Ball control 2%, Passing accuracy 0.5%, Shooting accuracy 1%, View attachment 2848609

Kiufupi Huyo Hafiz hakuna mchezaji hapo Leo hii hii ilifaa alipwe kiinua mgongo chake na aombewe Lifti kwa medeama wakamuache Karbu na Nyumbani aendelee na Maisha mengine akisubiri Timu nyngne iingie Mkenge kumsajili.
Ki ukweli jamaa anaudhi sana,hata Mimi natumaini medeama watapewa waondoke naye,hawezi badilika huyu hata akipewa mda zaidi Never, "If you know you know"
 
Kama Kichwa cha Uzi kinavyojieleza hapo, kiukweli huyo Jamaa ni hakuna mchezaji hapo Ball control 2%, Passing accuracy 0.5%, Shooting accuracy 1%, View attachment 2848609

Kiufupi Huyo Hafiz hakuna mchezaji hapo Leo hii hii ilifaa alipwe kiinua mgongo chake na aombewe Lifti kwa medeama wakamuache Karbu na Nyumbani aendelee na Maisha mengine akisubiri Timu nyngne iingie Mkenge kumsajili.
hakika kacheza vibaya sana,sijajua hasa nini kimempata
 
Nikajua kupitia kwa Ayubu mtakuwa mmejifunza kitu. Mtanzania ni Mtanzania tu.
Huyu mchezaji siyo mbaya kama wengi wanavyo mchukulia. Ni vile tu hajaingia kwenye mfumo wa mwalimu Garmond kama ilivyo kwa mastaa wengine pale Yanga. Mfano Farid Mussa, nk.
 
Back
Top Bottom