Duh, mbona unaanza kuweweseka?Mi sio zezeta kama nyie misukule ya Lumumb naoombwa kuandamana mumpongeze mwenyekiti wenu
Magufuli katiri sana hafai hata kuongezewa sekunde 10 muda wake ukiishaNashangaa watu wanatokwa mapovu Mara Magufuli ni chaguo la mungu
Mara anatetea wanyonge
Mara anatetea rasilimali za nchi
Mara mzalendo
Mara aongezewe muda wa kuongoza wakati hata miaka 2 hajatimiza kwenye uongozi wake
Mimi kama mtanzania ninaejielewa,ninaejua baya na zuri sioni cha kumpongeza Magufuli hadi sasa
Naona jamaa kazidi tu kuleta Shida na taabu kwa wananchi.
Wanachofanya ccm ni sawa na kuandama kumpongeza baba mwenye familia kwa kununua mavazi na kuwapeleka wanae shule!!
Nashangaa watu wanatokwa mapovu Mara Magufuli ni chaguo la mungu
Mara anatetea wanyonge
Mara anatetea rasilimali za nchi
Mara mzalendo
Mara aongezewe muda wa kuongoza wakati hata miaka 2 hajatimiza kwenye uongozi wake
Mimi kama mtanzania ninaejielewa,ninaejua baya na zuri sioni cha kumpongeza Magufuli hadi sasa
Naona jamaa kazidi tu kuleta Shida na taabu kwa wananchi.
Huenda kwa kuwa kaona vituo vya mafuta vimefungwa kwa ajili ya kukosa machine za efd".....Naona jamaa kazidi tu kuleta Shida na taabu kwa wananchi."
Fafanua zaidi mkuu hapa...
Endelea kutokuona....Nashangaa watu wanatokwa mapovu Mara Magufuli ni chaguo la mungu
Mara anatetea wanyonge
Mara anatetea rasilimali za nchi
Mara mzalendo
Mara aongezewe muda wa kuongoza wakati hata miaka 2 hajatimiza kwenye uongozi wake
Mimi kama mtanzania ninaejielewa,ninaejua baya na zuri sioni cha kumpongeza Magufuli hadi sasa
Naona jamaa kazidi tu kuleta Shida na taabu kwa wananchi.
Daaa hii point ccm wenye .....wangesoma wanekushukuru sasa daaaWanachofanya ccm ni sawa na kuandama kumpongeza baba mwenye familia kwa kununua mavazi na kuwapeleka wanae shule!!
Kwa sababu hamna alichokifanya cha maana hadi kustahili Kusifiwatoa sababu kwann hamna alichokifanya
Post sent using JamiiForums mobile app
Huo uchumi unaimarika wapi mkuu,au kuna Tanzania zaidi ya moja kuwa wengine mnaishi huko na kukuona uchumi ukiimarika na ssi tupo Tanzania nyingine ambako uchumi haukui!Kila mmoja wetu ana wajibu na nchi yake na kwa pamoja kama nchi tunapiga hatua moja kwenda hatua nyingine kila siku.
Pongeza ziwaendee watanzania wote kwa umoja wao ktk kujenga uchumi bora na kuboresha Huduma za jamii kwa watu wote.
Kama nchi changa tunaendelea kwa kadri tunavyoimarika kiuchumi