Habari njema tanesco!!!,,

ulanzi mtamu

Senior Member
May 19, 2012
102
11
Habari wana jamvi, habari njema toka chanzo cha ndani cha tanesco ni kwamba tanesco inataraji kumwaga ajira lukuki mnamo mwezi januari 2014, hii ni kutokana na kuwapunguza kazi watumishi wote waliozidi miaka 50 na tayari wameshapewa barua za kuacha kazi na mwisho wao ni mwezi wa 12. NDO IVO WADAU GET READY!.
 
Jiandae pia shirika la posta, EWURA,TCRA nako kuna nafasi karibia 500 December 2015 maana wafanyakazi nusu wapo above 50 years
 
=====================
Ukipata Ujumbe wa chuki matusi futa delete kabisa
=====================
 
habari wana jamvi, habari njema toka chanzo cha ndani cha tanesco ni kwamba tanesco inataraji kumwaga ajira lukuki mnamo mwezi januari 2014, hii ni kutokana na kuwapunguza kazi watumishi wote waliozidi miaka 50 na tayari wameshapewa barua za kuacha kazi na mwisho wao ni mwezi wa 12. Ndo ivo wadau get ready!.

nami kufika julai mwaka 2014 nitamwaga ajira zisizopungua 20.jiandaen kwa fursa.
 
Habari wana jamvi,
habari njema toka chanzo cha ndani cha tanesco ni kwamba tanesco
inataraji kumwaga ajira lukuki mnamo mwezi januari 2014, hii ni kutokana
na kuwapunguza kazi watumishi wote waliozidi miaka 50 na tayari
wameshapewa barua za kuacha kazi na mwisho wao ni mwezi wa 12. NDO IVO
WADAU GET READY!.

haya, ngoja tuvute subira.
 
Mmh.


Sasa Tanesco kumwaga ajira tungoje kwanza
watangaze maana kupewa barua sio tatizo
kuna wengine huendelea na kazi kulingana
na unyeti wa nafasi zao.
 
Yatupasa kutambua kuwa mashirika au taasisi wakiachisha watu kazi haina maana ni lazima waajiriwe wenngine.
maana hiyo inaweza ikawa ni kwa lengo la kupunguza runninng costs mishahara ikiwa ni kwa asilimia kubwa!
 
Habari wana jamvi, habari njema toka chanzo cha ndani cha tanesco ni kwamba tanesco inataraji kumwaga ajira lukuki mnamo mwezi januari 2014, hii ni kutokana na kuwapunguza kazi watumishi wote waliozidi miaka 50 na tayari wameshapewa barua za kuacha kazi na mwisho wao ni mwezi wa 12. NDO IVO WADAU GET READY!.

Iko namna hii mzee, Wanaweza wakawa wanapunguza staffs cause wameadvance technologically as you know good technology means less labour force kama sasa hivi utaona kabisa hawakwei nguzo za umeme wanatumia winches, vile vile wasoma meter no more needed sasa hivi umeme uko kiganjani mwako, Tunakwenda kutumia gesi kwa umeme sasa, sasa mi naona badala ya msomi mwenzangu kutega hii dormant fursa jiajiri tuu mzee graduate per year now is 40000 unadhani ratio hiyo itacover nini...Other wise kama Rizzziwanii aongee na mshua
 
Iko namna hii mzee, Wanaweza wakawa wanapunguza staffs cause wameadvance technologically as you know good technology means less labour force kama sasa hivi utaona kabisa hawakwei nguzo za umeme wanatumia winches, vile vile wasoma meter no more needed sasa hivi umeme uko kiganjani mwako, Tunakwenda kutumia gesi kwa umeme sasa, sasa mi naona badala ya msomi mwenzangu kutega hii dormant fursa jiajiri tuu mzee graduate per year now is 40000 unadhani ratio hiyo itacover nini...Other wise kama Rizzziwanii aongee na mshua

Good analysis mkuu...bt I hope sio kivile na hiyo tecnohama!!
 
Mbaya zaidi kuna takribani wasomi wenye vyeti zaidi ya laki 9 mtaani hawana ajira achilia mbali wenye kuzuga maofisin ambao wanazuga, cha msingi tumia nguvu zako kutoka na si kutegemea chigalakali
 
Nimekupata sana grandlyimo unajua kuna huu mradi wa usambazaji umeme vijijini(rea), so ni kwamba si kila kijiji kina uwezo wa kufikiwa na winchi kama usemavyo,halafu kumbuka kuna vijiji vina umeme lakini no network ya simu usidhani kila m2 atatumia huduma za simu!..
 
Back
Top Bottom