The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 7,382
- 8,445
- Thread starter
- #21
Liganga na mchuchuma wanaokwamisha Ni Serikali kwa kuweka vikwazo lukuki,inahitaji umeme mkubwa zaidi ya megawatt tulisonazo Sasa na haupo,Hakuna miundombinu wezeshi Kama Barabara na relo so Hakuna investor atakuja.Hapa nitakufa na nitazaliwa tena na nitakufa bado gesi haijaanza kuchimbwa Liganga na Mchuchuma ilianza kuimbwa bado nipo kijijini nacheza mchezo wa kuigiza nachunga Ng'ombe na kukimbizana na kujificha kwenye vichaka mpaka leo hii nina akili zangu nimezunguka nchi nzima na mataifa mengine kadha wa kadha lakini bado madini hayo yanaimbwa tu.
Hii nchi na viongozi wetu sijui nani katuloga hata hatujui ni kipi kinatufanya kubaki tulivyo na hatusogei mbele
Juu ya hayo Kimbuka chuma kipo kila mahala Duniani ukizingua wanasepa tofauti na Gas hii ambayo inapatikana sehemu chache Sana hapa Duniani na hatuhitaji maumeme meengi.