Gwajima: Kutakuwa na Ugeni wa mzee kutoka kijiji cha KOROMIJE

Ningekua muumini wa hili kanisa ningehama jumla. Maana siwezi kuongozwa na mtu ambae ni mchungaji anaejua kua anatakiwa kusamehe na kuachilia na pia anajua visasi sio vya mwanadamu ni vya Mungu then anajifanya kua kipofu na kiziwi. Utumishi wake una walakini kwa kweli...
Nakumbuka anadai ana uwezo wa kufufua watu, kama jina la kanisa lake "Uzima na Ufufuo" na akadai angemfufua marehemu Amina Chifupa. Bado waumini wanamwani pamoja na maandiko marakatifu (anayotumia kuhubiri) yasemayo "binadamu ni mavumbi na mavumbini atarudi"!!!
 
Najua Mchungaji Josephat Gwajima upo hapa JF.
Tumepata taarifa jumapili ijayo kuna wageni watatoka Kolomije village kuja kuongea na familiya ya wana Ufufuo,tumesikia wengine ni waalimu waliomfundisha Mh Makonda na wengine ni wanakijiji.

Naomba nikuombe neno moja,samehe na kusahau kwa kuwa ndio tulioitiwa,waendao katika mwili hawawezi kumpendeza Mungu,wewe ni mtu mkubwa katika jamii na unaheshimika,hivi unaweza kufundisha somo la kumsamehe adui yako?

Naomba uwe mfano wa kuigwa ili usipoteze kondoo unao waongoza,kumbuka maneno ya Yesu,akulazimishae kutembea maili moja tembea nae mbili,na akuny,ang,anyae koti mwachie na shati.
Kmbuka kuna vita za aina mbili kuna vita ya kimwili na kiroho, ivo gwajima alilazimishwa apigane vita ya kimwili si kiroho na hii vita ya kimwili ni ngumu sana ku-avoid, mfano jamaa anakuja tu from nowhere anakwambia ulimwibia bidhaa zake maeneo fulan na akaanza kukuangushia mangumi, km n wewe huyo jamaa utamsamehe wakati anakuumiza? Simwishowe atakuua kama umetulia tu km kondoo anasubiri slaughtering
 
Bado mnalo kumbwe!!! Ile amri inayowataka kusamehe X 70 kwa siku mmeisahau nini? au ndo ya Kaisali hayo?
Biblia imetamka wazi kwamba samehe saba mara sabini kwa mtu anayeelewa maana ya kusamehewa na kwa nini anasamehewa, vinginevyo mbwai na iwe mbwai.
 
Nakumbuka anadai ana uwezo wa kufufua watu, kama jina la kanisa lake "Uzima na Ufufuo" na akadai angemfufua marehemu Amina Chifupa. Bado waumini wanamwani pamoja na maandiko marakatifu (anayotumia kuhubiri) yasemayo "binadamu ni mavumbi na mavumbini atarudi"!!!
Wanaposema chama cha kijani ni chama cha wakulima na wanafanyakazi, bado munawaamini au ?
 
Hao waumini wake wakapimwe akili maana sio bure, mtu unakua unalipa nauli kwenda kufuata umbea na sio neno la kukujenga kiroho? sasa vyeti vya Mkuu wa mkoa ndio vitawapeleka Mbinguni? Kwa hizi akili maendeleo yatachelewa sana kuja!
Hahahaaaaaa...naona umevurugwa
 
Ningekua muumini wa hili kanisa ningehama jumla. Maana siwezi kuongozwa na mtu ambae ni mchungaji anaejua kua anatakiwa kusamehe na kuachilia na pia anajua visasi sio vya mwanadamu ni vya Mungu then anajifanya kua kipofu na kiziwi. Utumishi wake una walakini kwa kweli...
Katika waumini safi wasio na makandokando nawe upo? Mbona huwa mnapenda kujiona wasafi kumbe mmevaa ngozi ya kondoo tu
 
Nakumbuka anadai ana uwezo wa kufufua watu, kama jina la kanisa lake "Uzima na Ufufuo" na akadai angemfufua marehemu Amina Chifupa. Bado waumini wanamwani pamoja na maandiko marakatifu (anayotumia kuhubiri) yasemayo "binadamu ni mavumbi na mavumbini atarudi"!!!
Nawe unaamini Makonda anaweza kutokomeza dawa za kulevya?
 
Kama ni kweli, mbona huyo mchungaji yupo dramatic namna hiyo?

Kiongozi wa dini ana behave kama wadada wanaotukanana kwenye Instgram?

Na watu mnashangilia tu huo ushenzi shenzi.

A man of the cloth sinking all the way down to the gutter.

Lawwd hammercy!!
No nadhani lengo la Gwajima ni Makonda Ang'ooke Dar, Nafikiri 40 za Makonda zilifika, by the way Was it Ok kwa Makknda Kumlaza Ndani Askf mzima kwa tuhuma za hila?
 
Mimi kama mkristo, na uelewa wangu mdogo juu ya biblia
Sisi kama binadamu tunapaswa kusamehe 7×70
Na yeyote yule akufanyiae mabaya
Sasa napata shida sana
Ninapoona mtumishi wa Mungu
Anapoendeleza vita na yule anayeamini akumtendea vyema
Kuna haja kwa serikali kuingilia na kuyachunguza haya makanisa na viongozi wake
Baadhi yao wanatia shaka sana
Kama kweli wapo kwa kazi ya Mungu au ni njia ya kujitengenezea kipato
Kupitia watanzania
Ambao kiukweli wengi wao wanaishi katika lindi la matatizo na umaskini mkubwa
Wajanja utumia imani katika kuwaadaa na kuwaibia rasilimali zao ndogo walizonazo

Mkuu ni kweli biblia inatufundisha kusamehe 7 x 70. lakini ni katika biblia hiyo hiyo kuna Zaburi 35, Zaburi 109 na pia kuna Mhubiri 3 inayosema kuna kila jambo kwa majira yake. Kumbuka ni huyo huyo aliyetufundisha kusamehe kuna wakati alitembeza mkong'oto hekaluni. Tusiwe wakristo kumzidi Yesu mwenyewe!
 
Mkuu ni kweli biblia inatufundisha kusamehe 7 x 70. lakini ni katika biblia hiyo hiyo kuna Zaburi 35, Zaburi 109 na pia kuna Mhubiri 3 inayosema kuna kila jambo kwa majira yake. Kumbuka ni huyo huyo aliyetufundisha kusamehe kuna wakati alitembeza mkong'oto hekaluni. Tusiwe wakristo kumzidi Yesu mwenyewe!
Ngigana nakuunga mkono 100℅, kunawatu wanakalili maandiko eti 7×70, Mungu mwenyewe mpaka Leo kashindwa kumsamehe Shetani , je Yesu nae alimsamehe Yuda Iskariote? Nabii Musa naye akatembeza mapanga kwa waabudu ndama woote 3000.Makonda aweke vyeti mezani .Wametusumbua sanaa hawa jamaa kwenye uhakiki wa vyeti sinahata hamu nao!
 
Naomba niwekee kiti mbele kabisa maana simu Yangu haina uwezo wa kurekodi kwa mbali. Sihitaj yanipite hata mate yanavyoanguka.
 
Nawe unaamini Makonda anaweza kutokomeza dawa za kulevya?
Anaweza au hawezi, ni juhudi za pamoja.

Uthubutu wake kuwataja watu maarufu, umefufua vita dhidi ya biashara ya madawa ya kulevya. Ushahidi unsonekana kwa idadi ya madawa hayo yanayokamatwa na kuteketezwa; uteuzi wa Kamishana; kukamatwa kwa watuhumiwa nk

Pamoja na hayo, shutuma na tuhuna mbalimbali dhidi yake, ni dhahiri kwamba ametupa nguvu mpya ya kupambana na hii vita.
 
Ndugu kwani yeye anapinga mapambano dhidi ya madawa ya kulevya??? Be thoughtful nigga

Anazidi kujichimbia kwenda chini zaidi pale anapopambana na walio kwenye mpini wakati yeye kashika makali ya upanga pande zote mbili.
 
Anaweza au hawezi, ni juhudi za pamoja.

Uthubutu wake kuwataja watu maarufu, umefufua vita dhidi ya biashara ya madawa ya kulevya. Ushahidi unsonekana kwa idadi ya madawa hayo yanayokamatwa na kuteketezwa; uteuzi wa Kamishana; kukamatwa kwa watuhumiwa nk

Pamoja na hayo, shutuma na tuhuna mbalimbali dhidi yake, ni dhahiri kwamba ametupa nguvu mpya ya kupambana na hii vita.
Sasa katika watu hao maarufu yupi amekutwa na hatia ya kuuza madawa ya kulevya na akapewa adhabu inayostahili? Mana huwezi kusema umethubutu mission ikiwa impossible
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom