Gwajima amwaga cheche, amshauri Rais Magufuli ahame chama kama CCM wakimnyima Uenyekiti wa chama

HaMachiach

JF-Expert Member
Dec 15, 2015
3,399
6,077


Askofu wa makanisa ya ufufuo na uzima dunia Josephat Gwajima amwaga cheche. Amesema "Tanzania Mpya inakuja" Amesema alikuwa anajua Magufuli ni Mchapa kazi lakini anaichukia CCM, kwani hili dude hata kama malaika akiingia, anabadilika kuwa shetani.

Rais ameanza Vizuri, siku 60 za mwanzoni alikundua mambo mengi ikiwemo flow meter, Makontena. Inawezekanaje makontena yaingie Polisi wapo, Usalama wa taifa upo wasijue. Walijua sema walijua ni ya yule mzee.

Sasa amepata taarifa zake za kiufufuo kwamba wale watu waliokuwa wanaosafirisha Pembe za ndovu na kuingiza makontena bila kulipa ushuru, na wale walioruhusu Watumishi hewa, na wale walioharibu flow meter, Sasa wanazunguka Nchi nzima Kuwaambia watu wasimpe uwenyekiti wa CCM rais Magufuli sababu anatumbua sana.

Amesema wanataka wabadili utaratibu kwamba sio lazima rais awe Mwenyekiti wa Chama, kwani wanahofia kuharibiwa mambo yao.

Askofu Gwajima kamshauri rais kwamba, kama watafanya hivyo yaani kumnyima Uwenyekiti wa chama akubari, ila awape sharti moja la kupeleka Mswada Bungeni ili katiba ifanyiwe marekebisho Marais nao washitakiwe kwa yale makosa waliyotenda wakiwa madarakani.

Unafanya vizuri hata sisi ambao tulikuwa hatukupendi tunakupenda, sasa peleka mswada ili rais aondelewe kinga. Wapinzani watakubali.

Uanze na tembo, watuambie illikuaje Tembo wasafirishwe na rais yupo ilikuwaje, au makontena hayakulipiwa ushuru na rais yupo ilikuwaje.

Vilevile amemshauri kama wataendelea Kumsumbua, abadilishe chama, ahame chama na urais wake ahamie chama kingine kwani hata Malawi yalishawahi kutokea ambapo rais alihama na urais wake. Ahame tu kwani kanisa la Ufufuo na Uzima linamuunga Mkono.

Gwajima kasema ukisahau jina lake muite Mr. Tanzania.

Hatari sana leo. Ngoja nitafute namna ya kuweka clip
 

Attachments

  • Gwajima.mp3
    3.8 MB · Views: 213
Mch Gwajima ametuhumu kwa mafumbo kwamba wafuatao wanazunguka ili Kuzuia Magufuli kwa Mwenyekiti
1...
2...
3...
4...
 
This is not fair kwa gwajima anayoyaongea especially anaposema <yule> it seems like anabifu na yule na kanisani si sehemu sahihi kuyatamka haya maana akumbuke anayemtaka hapa kama yule ni wa dhehebu tofauti huku ni kupandikiza chuki za kidini is better akawa mwanasiasa....

(for me naona katumwa tu) hii si sahihi kabsa na ni nani huyo aliyemfata ya kuwa awasaidie kumzuia magufuli asiwe m/kiti wa ccm alitakiwa amtaje kama kweli yeye ni mkweli...

hapa to be honest jamaa anatumika kuleta uchonganishi baina ya m/kiti wa ccm na rais.......

Na hizi zote ni hasira za mtu wao kukatwa jina dodoma na wanaamini kabsa adui yao mkubwa kabsa kwa wao kushindwa uchaguzi mkuu ni huyo anyemuita kama <yule>
 
Huo ujumbe umetumwa indirect.

Hapo Magufuli anaulizwa, mbona JK & Co wameifisadi hii nchi lakini mpaka sasa hujawachukulia hatua yoyote?

Anazidi kumueleza kuwa mbona unachofanya ni kuonea vidagaa na mafisadi papa wa flow meter hujawakamata?

Au kama vipi badili basi sheria ili uweze kumkamata huyo JK kwa maana wananchi wanasubiri kwa hamu waone JIZI number one likikamatwa.
 
Nimesikia hii audio Ya Gwajima nimesikitika saaaa a... Maaana amejazwa taarifa za uongo
Hapa huyu Gwajima anatumika kabsa haya ni machungu ya kushindwa uchaguzi na mtu wao kukatwa jina ndio maana jamaa amemkomalia mtu mmja tu <YULE> maana huyu ndie wanamuona adui yao mkubwa kabsa kwa wao kushindwa Uchaguzi mkuu
 
This is not fair kwa Gwajima anayoyaongea especially anaposema <YULE> it seems like anabifu na YULE na KANISANI SI SEHEMU SAHIHI KUYATAMKA HAYA maana akumbuke anayemtaka hapa kama yule ni wa DHEHEBU TOFAUTI huku ni kupandikiza chuki za kidini is better akawa mwanasiasa....(for me naona katumwa tu) hii si sahihi kabsa NA NI NANI HUYO ALIYEMFATA YA KUWA AWASAIDIE KUMZUIA MAGUFULI ASIWE M/KITI WA CCM alitakiwa amtaje kama kweli yeye ni mkweli....<HAPA TO BE HONEST JAMAA ANATUMIKA KULETA UCHONGANISHI BAINA YA M/KITI WA CCM NA RAIS.......Na hizi zote ni hasira za mtu wao kukatwa jina DODOMA na wanaamini kabsa adui yao mkubwa kabsa kwa wao kushindwa uchaguzi mkuu ni huyo anyemuita kama <YULE>
Gwajima kiboko
 
Askofu wa makanisa ya ufufuo na uzima dunia Josephat Gwajima amwaga cheche. Amesema "Tanzania Mpya inakuja" Amesema alikuwa anajua Magufuli ni Mchapa kazi lakini anaichukia CCM, kwani hili dude hata kama malaika akiingia, anabadilika kuwa shetani.

Rais ameanza Vizuri, siku 60 za mwanzoni alikundua mambo mengi ikiwemo flow meter, Makontena. Inawezekanaje makontena yaingie Polisi wapo, Usalama wa taifa upo wasijue. Walijua sema walijua ni ya yule mzee.

Sasa amepata taarifa zake za kiufufuo kwamba wale watu waliokuwa wanaosafirisha Pembe za ndovu na kuingiza makontena bila kulipa ushuru, na wale walioruhusu Watumishi hewa, na wale walioharibu flow meter, Sasa wanazunguka Nchi nzima Kuwaambia watu wasimpe uwenyekiti wa CCM rais Magufuli sababu anatumbua sana.

Amesema wanataka wabadili utaratibu kwamba sio lazima rais awe Mwenyekiti wa Chama, kwani wanahofia kuharibiwa mambo yao.

Askofu Gwajima kamshauri rais kwamba, kama watafanya hivyo yaani kumnyima Uwenyekiti wa chama akubari, ila awape sharti moja la kupeleka Mswada Bungeni ili katiba ifanyiwe marekebisho Marais nao washitakiwe kwa yale makosa waliyotenda wakiwa madarakani.

Unafanya vizuri hata sisi ambao tulikuwa hatukupendi tunakupenda, sasa peleka mswada ili rais aondelewe kinga. Wapinzani watakubali.

Uanze na tembo, watuambie illikuaje Tembo wasafirishwe na rais yupo ilikuwaje, au makontena hayakulipiwa ushuru na rais yupo ilikuwaje.

Vilevile amemshauri kama wataendelea Kumsumbua, abadilishe chama, ahame chama na urais wake ahamie chama kingine kwani hata Malawi yalishawahi kutokea ambapo rais alihama na urais wake. Ahame tu kwani kanisa la Ufufuo na Uzima linamuunga Mkono.

Gwajima kasema ukisahau jina lake muite Mr. Tanzania.

Hatari sana leo. Ngoja nitafute namna ya kuweka clip
Gwajima ni mchochezi!
Anatumia vibaya kanisa katika kuangalia manufaa yake na kundi dogo sana la waumini wake na wanasiasa rafiki!
Je yupo kwa maslahi ya Tanzania au tumbo lake?
Mungu hawezi kuwa pamoja na mtu wa aina hii!
Mtu mwema haombei wenzake mabaya hata Mara moja, aliye na Yesu husema samehe 7 Mara 70, Ila aliye na shetani huomba mabaya yamfike mwanadamu mwenzake!
Uchonganishi si sifa ya Mungu!
Nadhani anatafuta kutembelewa ktk kanisa lake kama mzee wa upako!
Bro. Bahati ya mwenzio usikae mlango wazi, vibaka watakuibia tu!
 
Gwajima ni mchochezi!
Anatumia vibaya kanisa katika kuangalia manufaa yake na kundi dogo sana la waumini wake na wanasiasa rafiki!
Je yupo kwa maslahi ya Tanzania au tumbo lake?
Mungu hawezi kuwa pamoja na mtu wa aina hii!
Mtu mwema haombei wenzake mabaya hata Mara moja, aliye na Yesu husema samehe 7 Mara 70, Ila aliye na shetani huomba mabaya yamfike mwanadamu mwenzake!
Uchonganishi si sifa ya Mungu!
Nadhani anatafuta kutembelewa ktk kanisa lake kama mzee wa upako!
Bro. Bahati ya mwenzio usikae mlango wazi, vibaka watakuibia tu!
Waongezeke kama Gwajima 30
#
 
Huo ujumbe umetumwa indirect.

Hapo Magufuli anaulizwa, mbona JK & Co wameifisadi hii nchi lakini mpaka sasa hujawachukulia hatua yoyote?

Anazidi kumueleza kuwa mbona unachofanya ni kuonea vidagaa na mafisadi papa wa flow meter hujawakamata?

Au kama vipi badili basi sheria ili uweze kumkamata huyo JK kwa maana wananchi wanasubiri kwa hamu waone JIZI number one likikamatwa.

Huo hasa ndiyo ujumbe wa Gwajima kwa raisi JPM

Pia hata kama ametumwa na Lowasa lakini ni katika pia kumkumbusha "YULE" kwamba JPM ni raisi na anaweza kuamua liwalo na liwe.

CCM inachukuliwa kuwa bado ni "privatised" kwa sasa, hivyo ni lazima irudi kuwa chama cha mapinduzi.
 
Back
Top Bottom