Gwajima aagiza helkopta 2 kutoka Japani

Halafu bado kuna wapendwa wanapeleka ¾ ya mapato yao huko kwa mtu huyu wa "mungu" ili awafanyie mpango wa kwenda mbinguni. Ukiwaona wamechokaa vitoto vimekondeana kwa kukosa lishe.
 
Naona kaamua kuachana na siasa sasa,alitaka kupotea mazima,yeye ajikite tu kwenye biashara yake mbona inamlipa vizuri tu.....
 
Mzee was upako nimemsikia Chanel ten akiwakandia wenzake kua sio wakweli isipokua yeye...na hakuishia hapo tu akasema yeye ana upeo mkubwa sana wa neno LA mungu Ila anaangalia na kiwango cha uelewa cha waumini wake hivyo anaenda Mdogo Mdogo ili wamuelewe!
 
Biashara ya SADAKA tamu sana... haina kodi.. alafu unaambiwa ukitoa, Mungu atakuongezea maradufu..

Maana yake unaambiwa...

Ukitoa 1 mil utapata 2mil...

Ukitoa 100 mil utapata 200mil..

Unaambiwa... unaambiwa.. toa toa ulichonacho ndugu Mung
u anakuona mpaka moyoni mwakooooo... tao ndugu...!!

Ukitoa, utapata baraka, toa...

Hii biashara Gwajima, Mwakasege, Lusekelo, Mwingira, GeoDevi, matapeli wakubwa hawa... wanakula sadaka kila siku..!!

Wajinga ndio waliwao..!!
 
Mtoa mada ni mtoto wa dawa (in gwajima's voice) muulize mkuu wa mkoa wa Arusha aliposema walokole wanawabughudhi wananchi kwa kukesha kwa makelele aliitwa mtoto wa dawa! Naona na wewe unahamu ya kuwa mtoto wa dawa
Hahahhh
 
Poit ya mleta mada ni kwamba muandae sadaka mkanufaishe watu waendelee kununua chopa nyie mlale njaa. Kuna kanisa moja nilionaga maeneo ya kimara kologwe kama unaenda kirungule. Kipindi cha mnada unakuta kuku wa sh. 6000 anauzwa mil. 2
Toa utaongezewa! Hakuna anayelazimishwa kutoa
 
Biashara ya SADAKA tamu sana... haina kodi.. alafu unaambiwa ukitoa, Mungu atakuongezea maradufu..

Maana yake unaambiwa...

Ukitoa 1 mil utapata 2mil...

Ukitoa 100 mil utapata 200mil..

Unaambiwa... unaambiwa.. toa toa ulichonacho ndugu Mung
u anakuona mpaka moyoni mwakooooo... tao ndugu...!!

Ukitoa, utapata baraka, toa...

Hii biashara Gwajima, Mwakasege, Lusekelo, Mwingira, GeoDevi, matapeli wakubwa hawa... wanakula sadaka kila siku..!!

Wajinga ndio waliwao..!!

Subir waje uone mipovu mwamwamwah
 
Wajinga ndiyo waliwao, waumini wote masikini mchungaji ndiyo tajiri!!!! Haleluya haleluya kumbe unatuibia sadaka
 
Back
Top Bottom