Guys i need your help

Sasa mkuu hata kinachokufanya ujichukie haujakieleza,tutakusaidiaje sasa?

Halafu ungeandika kwa kiswahili tu,ungeeleweka zaidi kuliko hiko kingereza cha FB
Jambo la muhimu,jifunze kuwa mtu wa watu,usipende kukaa peke yako mda wote

Hisia hizo zitakwisha tu
huyo tatizo hajitambui kukaa sana peko yako sio tatizo swali mambo anayofanya ni akili yake ndo inamtuma au huwa anafanya vitu kwa kuwaogopa watu ?
 
wazaz hwanpend hsa baba cjui kwann. mpk najchukia mwnyw sion km nna umuhm apa dunian zaman walkua wananpenda sna bt wamebadlka. mi nna marafki weng napenda kujchanganya ckai peke angu
Tatizo hutaki kusoma unataka kuwa modo, huwasikilizi wazazi wako wewe
 
wazaz hawanpend hsa baba. cjui kwann. zaman alkua ananpenda lakin amebadlika mpk najchukia mwnyw sion km nna umuhm apa dunian. nlileta ili tatzo hpa wa2 awajanshaur wakantukana

How old are you ?
You don't seem serious, is this how you learn to write ? Maybe it is part of the problem or a problem itself if I consider myself a parent !!
 
wazaz hawanpend hsa baba. cjui kwann. zaman alkua ananpenda lakin amebadlika mpk najchukia mwnyw sion km nna umuhm apa dunian. nlileta ili tatzo hpa wa2 awajanshaur wakantukana

Ni nani aliye kushauri uilete hapa JF... ni nani aliye kudanganya kwamba ndio sehemu ma great thinkers wote TZ wamejikusanya... una hitaji kuchukua appointment na 'psychologist' ili akuambie 'strengths and weaknesses' zako... wengi wetu tunazijua lakini hatupati mwongozo wa kitaalam namna ya kuzitumia na kuzidhibiti..

Hao wamebobea katika hii field na ujuzi yao ya miaka mingi na kuonana na watu wengi inawapa fursa ya kuliona tatizo haraka sana hata kuliko mtu mwenye shida mwenyewe, achilia mbali watu waliyemzunguka mtu huyo mwenye hilo shida.

Ubarikiwe.
 
Back
Top Bottom