Charlie Hebdo wanaandaa mazishi ya Charb sijui ataandika wapi tena hizo katuni.
Teh teh teh Chezea A.K 47s.
Umeona wapi mtu anaougwa na AK47 halafu hatoki damu? Teh teh teh.
Yule jamaa mtuhumiwa wa madawa aliyekuea anatoroka mahakamani akapigwa risasi na polisi wa Tz, uliona picha yake? Sasa jiulize ☺