Kakende
JF-Expert Member
- Aug 18, 2012
- 2,741
- 1,231
Hawa bila hivyo wasingeacha huo upuuzi.
Hawawezi kuacha, ni lazima Babu Mahammed achorwe akiwa na katoto na ka wife ka Miaka 6
Hawa bila hivyo wasingeacha huo upuuzi.
Vicky, Vipi !! unanistaajabisha eeeeh... nani anamfaa nani ?? Aamka usingiziniiiii !!! Wa France ilikuwepo Algeria kwa Mika mia2 na kitu kama koloni katili !!Yaani waarabu hawa bwana,France inawapa uraia,halafu wanauwa watu,kama walikuwa hawapendi kuandikwa si wangerudi Algeria?
Kama unamuamini bwana Yesu anakulinda jitokeze basi uchore katuni uone utakavyomwagwa mavi.Hawawezi kuacha, ni lazima Babu Mahammed achorwe akiwa na katoto na ka wife ka Miaka 6
Hawawezi kuacha, ni lazima Babu Mahammed achorwe akiwa na katoto na ka wife ka Miaka 6
Ni upumbavu tu, hawa jamaa mbona wamelichora kanisa la Roma kuliko hata Uislam, na hakuna aliewagusa?, wewe unamini Mungu wa kweli anakubali watu kuuana?.
Anyway. Yesu anasema "watawatambua kwamba ninyi ni wafuasi wangu kwa Matendo yenu"
Pia alisema "Nabii wa uongo anakuja, na mtambua kupitia matendo ya Wafuasi wake"
Nilikuwa natazama kwenye vyombo vya Habari ulaya, Sky news, nimeona Wanawake wa Kiislam wakiwa wamekaribishwa studio na wakaambiwa wawe huru. Kitendo hii kinatofautisha kati ya Mahubili ya upendo ya Yesu na Uislam. Jesus Forever
Kwanini mara nyingi hawa watu wanaoua kwa Jina la Mungu huwa wanakamatwa? au hawana Ulinzi wa Allah?
Kwanini mara nyingi hawa watu wanaoua kwa Jina la Mungu huwa wanakamatwa? au hawana Ulinzi wa Allah?
Natamani George W Bush arudi Kuwa president tena,naona respect imepungua sana upande fulani
.
This police office was excuted.
Wewe jaa ni kiazi kwezi. Hao wa middle east waarabu wa kiislama wanauna wenyewe .. Ili wakawahi mabikra ndio maana hatuna time nao
100butts Message sent from Paris.....!!Natamani George W Bush arudi Kuwa president tena,naona respect imepungua sana upande fulani
Vicky, Vipi !! unanistaajabisha eeeeh... nani anamfaa nani ?? Aamka usingiziniiiii !!! Wa France ilikuwepo Algeria kwa Mika mia2 na kitu kama koloni katili !!
FYI, Rasilimali za Algeria ndo zinaifaa France !! Na Ges/Mafuta na umeme wa Algeria unapelekwa chini ya bahari hadi France na kunyanyua uchumi wao !! hao ALG-FRC wanajuana kwa CONFLICTS za kiCIVILIZATION mda mrefu na hata Uhuru wa Algeria umeweka rekodi kwa kupoteza wanamapinduzi, mashahidi millioni moja kuwaondoa wa Faransa!!
Kuchokodhana kuchokudha,chokodha watu ndiyo Mafunzo ya kanisaniii na utaratibu aliyo weka YESUUU..?? "Nauliza tu" ?
JAYJAY Copenhagen DN Kiranga Chinga One Victoire
Waendelee kuchokonoa chokonoa........
Wanampigania Allah sijui nimungu wa aina gani uyo anae piganiwa,.kuliko nimuamudu mungu ambae awezi chochote anategemea kupiganiwa na wanadamu ni heri nimuabudu ndovu.