Mtandika One
Member
- Jun 22, 2014
- 27
- 19
Wacha wafu wazikane
Le system mgombea wa chadema na Ukawa ni W.lemutuz- Hivi Chadema mgombea wenu wa Urais ni nani hasa maana hawa wa CCM wanapelekesha mbio sana vipi kwenu au?
Le Mutuz
Ulikuwa wapi usimshtaki mpaka usubiri ahojiwe na waandishi badala ya mahakama?Usipate shida tuwaombe waandishi wa habari wamhoji kuhusu huo mradi
hivi mkondo wa sheria ni upi?
Le system mgombea wa chadema na Ukawa ni W.lemutuz
swissme
- Hivi Chadema mgombea wenu wa Urais ni nani hasa maana hawa wa CCM wanapelekesha mbio sana vipi kwenu au?
Le Mutuz
Hawa Mungu ameshawachanganyia lugha acha wapambane na kugawana vyeo sisi tugawane kazi ili kusaidia umma kuchukua mamlaka
Uteuzi Wa makonda ni aibu kwa mwenye mamlaka! Zawadi yake kwa kufisadi bmk
Mbona sasa haendi mahakamani?
nashukuru kwa elimu mzuriunaanzia polisi, ambapo unapeleka malalamiko ya kuchafuliwa/kuibiwa/kupigwa n.k then unaelekea kwenye upelelezi ambao utasaidia kukusanya ushahidi, baada ya hapo mkondo unaelekea mahakamani ambapo hakimu atathibitisha kwamba kwa ushahidi ulioletwa mbele yake kosa limefanyika kwa mujibu wa sheria zetu mbalimbali...na mwishowe mkondo huo utaishia magereza ambapo mhusika aliyebainika kavunja sheria anafungwa!! Huo ndio mkondo wa sheria mkuu...tehe teheee.....
- hahahahaha U know
Le Mutuz