hayo ndio matatizo yetu unajua hata ukisoma kwenye biblia adamu alipokula lile tunda usiniulize lipi akawa uchi akuna sehemu aliomba samahani..so hii ni kaspirit tunaenda nacho mpaka ugunduepdidy banah, ujue umenikumbusha enzi hizo ndo naanza malavidavi na shemejiyo, basi hivyo viua ua daily kwa phone yangu na gud nyt za kumwaga, leo tushazoeana mambo ya viua kushney! Kweli old is gold!
Gud nyt! Nakumbushia!