BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 2,712
- 6,517
Graduates,
Kama kungekuwa na sera nzuri basi mngekuwa na ajira ila sera za sasa ni za Kimasifa kununua ndege, mara kujenga madaraja makubwa sehemu ambayo haina return kubwa.
Vijana mko mtaaani miama minne mitano sasa na ajira.
Kwa hasira hamasisheni ndugu, jamaaa na marafiki wawakatae hawa wajanja wajanja kama Delila.
Haingii akilini hamna ajira then muendelee kushabikia CCM.
Kama kungekuwa na sera nzuri basi mngekuwa na ajira ila sera za sasa ni za Kimasifa kununua ndege, mara kujenga madaraja makubwa sehemu ambayo haina return kubwa.
Vijana mko mtaaani miama minne mitano sasa na ajira.
Kwa hasira hamasisheni ndugu, jamaaa na marafiki wawakatae hawa wajanja wajanja kama Delila.
Haingii akilini hamna ajira then muendelee kushabikia CCM.