conversant
Member
- Jul 12, 2011
- 60
- 7
wamesema cv and detailskaka does that mean tunatakiwa kutuma CV pamoja na vyeti.? au kwa wale ambao hatukubahatika kuliona hilo gazeti na hatuna namna ya kulipata...tafadhali tusaidie details za muhimu zilizowekwa.
hawajaspecify details gani mkuu ila posts ni graduate program for work training ni for 24 months area of specialization ni kama alivyozilist mtoa mada mkuu so i tink kwe subject ya e-mail utaaodika Application for graduate program work training in.... Sasa utamalizia kama ni accounting alafu kwenye mainbody jielezee na uombe then attach ur cv na transcripts hayo ni maoni yangu