Govt announces new BoT board

Haa haaa kweli sheria za bongo kituko kitupu. Kuna katuni moja ilichorwa na Kipanya ikieleza kuwam mtu anakuwa Waziri, Mbunge na mjumbe wa NEC ya CCM. Yaani mtu huyo atunge sera, azitekeleze na kujihoji mwenyewe, hiyo ndiyo Tanzania mazee.
 
Mufuruki CV

Ali A. Mufuruki, Chairman and CEO, Infotech Investment Group, Dar Es Salaam, Tanzania Ali Mufuruki founded Infotech Investment Group in 1989. The company has controlling interests in m&m Communications, Ltd. a leading advertising agency in Tanzania; Infotech Computers Ltd., an IT services company; and W-Stores Co., Ltd., the operator of the Woolworths franchise in Tanzania and Uganda. Ali worked for Daimler-Benz (now DaimlerChrysler) in Germany from 1985-1986 as an engineer in the planning division. Following that, he was head of mechanical engineering design at National Engineering Co. Ltd., a state-owned engineering firm in Dar es Salaam. Ali has served on the boards of various businesses and research institutions in Tanzania and has been involved in policy formulating bodies both in Tanzania and overseas. He is a member of the International Investors Roundtable whose purpose is to advise the President of Tanzania on a wide range of economic issues. In addition, he was recently appointed Chairman of the national flag carrier Air Tanzania Co. Ltd. and Chairman of Mwanachi Communications Ltd., a media house that publishes the Mwanachi newspaper and operates radio Uhuru. Ali holds a B.S. in Mechanical Engineering Design from a Fachhochschule for technology and economics in Reutlingen, Germany. He lives in Dar es Salaam with his wife Saada and their four children.
Source: http://www.aspeninstitute.org/site/c.huLWJeMRKpH/b.612933/k.9D33/2001_High_Five_Class.htm

Hivi kwa hiyo CV though not very updated, inafaa kuwa ya Director wa BOT? Mi nathani angefaa zaid Veta hivi,Chuo cha Usafirishaji, Nedco(sijui kama ipo bado)

Sifa za directors wa BOT ni hii:-

9."The members of the Board shall be appointed on the basis of merit from amongst persons who hold degrees or the equivalent qualifications from an institution of higher learning recognised in Tanzania and are experienced in economics,business and finance,banking,corporate law,accounting or other displine relevant to the functions of the bank."
Source:Bank of Tanzania Act,2006

Sawa Mufuruki anadgree lakini ni ya Mechanic Engineering Design, is it a relevant displine to the functions of the central bank? Au anahitajika kucheck Twin Tower designs?

Hon Megji hata hili huoni mama?
 
Jamani Kama Mlivyotangulia Kusema. Structure Nyingi Za Serikali Ni Kituko. Kama Hiyo Ya Gavana Kuwa Board Chair,in A Way Ni Kama Vile Hakuna Haja Ya Kuwa Na Board. How Come Ceo Awe Tena Chair Wa Board? Ni Mtu Gani Anaweza Kujisimamia Na Kujiadhibu Mwenyewe?

Halafu Kuwepo Na Limit Ya Huu Ujumbe Kwani Watu Tunao Wengi Wandugu,mfano Mgonja (fisadi Mkongwe) Ni Mjumbe Pia Wa Ppf Na Nssf Kama Sikosei. Sasa Hv Wanatumika Saa Ngapi Nafasi Hizo Zote? Halafu Pia Kunakuwa Hakuna Creativity Maana Watu Hao Hao Wanazunguka Tu Kote As If Hakuna Watu Wengine?

Hii Sheria Si Miongoni Mwa Amri Kumi Za Mungu.me Natarajia Wabunge Makini Walifanyie Kazi Hili Na Kupeleka Mswada Binafsi Hii Kitu Ibadilishwe Otherwise Itatucost,ndulu Si Mungu Wala Malaika Jamani Atatuibia Tu Naye Kama Kaka Yake Balali Halafu 2010 Haiko Mbali Watahitaji Tena Pesa Ili Washinde Kwa Asilimia 80.

Lastly,bot Vikao Vya Ndani Pale Pale Bila Kusafiri Wala Nini Wanalipana Laki Moja (100,000 Tshs) Kwa Siku Hata Kama Wamekaa Dk 10. Hivi Hawa Pia Ni Watanzania Kama Wengine Wanaolipwa Efu 48 Kwa Mwezi Kwa Kodi Hii Hii Tunayoichaniga Wote?this Is Really Fun And Very Painful
 
Tukiweka pembeni tabia chafu za Liyumba,taarifa kwamba ameng'oka ktk wadhifa wake BOT ni njema kama zilivyokuwa za kung'oka Severe.Inaonyesha kwamba kumbe decision makers wakiamua kwa dhati,wanaweza kuondoa vigogo wanao-missuse madaraka yao.

Having said that,Liyumbe amekuwa akitupiwa shutuma chungu mbovu lakini WHO IS THIS THE REAL LIYUMBA.Kuna mwenye dossier yake atuwekee hapa?Niliwahi kusoma sehemu flani ambapo akishutumiwa kwamba "jamaa ni msomi wa phd lakini anayofanya hayaendani kabisa na kiwango chake cha elimu..."

WHO IS THE REAL LIYUMBA?
 
Sasa subirini uhamisho au kupewa ujiko mwengine si mnaifahamu Tz chini ya Utawala wa CCM ,kwani yule mapuli yupo wapi ?
 
Sasa subirini uhamisho au kupewa ujiko mwengine si mnaifahamu Tz chini ya Utawala wa CCM ,kwani yule mapuli yupo wapi ?
Anaweza kurudishwa walikomtoa,kaabla ya kuwa Fuska alikuwa Mwanza pale BOT Institute.
 
duh sasa nadhani itabidi kiwembe huyo apunguze kasi yake ya kuhonga..maana miss tz haijastaafu kama yeye alivofukuzwa kazi...sasa aanze kuhonga anagalau baiskeli nyekundu tuu!!!madada zetu wapenda mijihela na maisha ya mkato na anasa na wenye tamaa za ajabu wala msihofu endeleeeni kujirahisisha tuu anagalau mpungue jamani maana tuko wengi
 
Wote ni usanii mtupu. Kuna mwana JF mmoja katika thread fulani aliandika kuwa nchi hii inapidi ipinduliwe ndipo mafisadi watakomeshwa.
Nadhani aliona mbali huyu, maana mafisadi wanajuana na ndiyo maana wanateuana. Unganisha hii na ile ajira ya watoto wa vigogo - lengo ni kutenda na kuficha ufisadi
 
Bubu ataka Kusema said:
Uwajibikaji utatoka wapi ikiwa Gavana Ndulu ndiye pia mwenyekiti wa bodi! Akiamua kufanya madudu kama ya Ballali hata huko kwenye Board anaweza kabisa kuyaficha wasiyajue kwa kuwa tayari ana kofia mbili ambazo anaweza kuzitumia kuficha madhambi yake. Hivi wameshindwa kupata mtu mwingine na kumpa umwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi hadi wamvalishe kofia mbili Ndulu!? Hii siri kali ni ya wasanii wa hali ya juu!

Bubu..,

..BOT inatakiwa kuwa chombo huru kisichoingiliwa na wanasiasa ktk maamuzi yake.

..sheria ya Bunge ya kuanzishwa kwa BOT ndiyo inayoelekeza Gavana awe mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi BOT.

..hata kwenye nchi zilizoendelea wanafuata mfumo huo. naamini hata Marekani Mzee Greenspan anaitwa Chairman of the board of governors of Fed Reserve.

..Makatibu wakuu wa Hazina ya Tanzania Bara, na Zenj, pia ni wajumbe wa bodi ya BOT kutokana na nyadhifa zao. Ina maana Raisi akikuteuwa PS Hazina basi moja kwa moja amekuteua mjumbe wa bodi ya BOT.

..wakati ktk nchi za wenzetu UHURU wa BENKI KUU ni kichocheo cha UFANISI, hapa kwetu uhuru huo unachochea UFISADI. Watanzania tumelaaniwa!!
 
Hili la Mfuruki naomba nitofautiane na wengi! Board yoyote hapa Tanzania ikikosa board member ambaye ni mtaalamu au mtu yeyote anayefahamu mambo ya ICT, ni sawa na kwamba board hiyo haipo!

Tuwe makini tusije kusema kila mtu ni fisadi! ATCL imekufa kutokana na mkataba na SAA! sababu zinafahamu wazi na SAA yenyewe na ATCL pia ... hili la ATCL tuliache maana linahitaji Thread kulielezea.
 
Bubu ataka Kusema,

..ingekuwa vizuri kama Gavana wa BOT angependekezwa na Raisi, lakini BUNGE ndiyo limuidhinishe ktk kazi yake.

..vilevile ingefaa Gavana wa BOT asifukuzwe kazi bila ridhaa ya Bunge.

..ukiweka mazingira kama hayo na mshahara na mafao ya uhakika basi lazima ufanisi na uwajibikaji utakuwepo.

..Gavana aliyeteuliwa ktk mazingira kama hayo hatakubali upuuzi na ufisadi kama wa Kagoda na Meremeta toka serikalini.
 
Back
Top Bottom