BAADA ya Tanzania kusuaasua katika kulaza mkongo wa mawasiliano wa fibre optics sasa neema yaja kama hatujasaini mikataba ya kiajabuajabu hadi sasa.
Google wanaweka angani satelaiti 16 kwa ajili ya kuzisaidia nchi za Afrika na zinazoendelea kwa ujumla kuwa na mawasiliano ya haraka ya tovuti.
Chelewa chelewa kweli utamkuta mtoto si wako, lakini wakati mwingine chelewa, chelewa na huenda ukakuta bei nafuu zaidi na kilicho bora zaidi.
Swali, je, bado ni muhimu kuanza kutumia mabilioni kwa ajili ya optic fibre? Majibu wanayo wakubwa. Walonge basi!
Google wanaweka angani satelaiti 16 kwa ajili ya kuzisaidia nchi za Afrika na zinazoendelea kwa ujumla kuwa na mawasiliano ya haraka ya tovuti.
Chelewa chelewa kweli utamkuta mtoto si wako, lakini wakati mwingine chelewa, chelewa na huenda ukakuta bei nafuu zaidi na kilicho bora zaidi.
Swali, je, bado ni muhimu kuanza kutumia mabilioni kwa ajili ya optic fibre? Majibu wanayo wakubwa. Walonge basi!