Yeah David Cameron wakati
mwingine huwa anatumia Baiskeli kwendea kazini wakati hapa mtalii wetu
au mkewe kwenda msikitini si chini ya gari nne,kweli ni gharama sana
kuwa masikini,watu walisema
Kwa africa ni pamoja na
usalama wao, Fikiria mkuu wa kaya ana baiskeli wakati anaenda kazini
anakutana na m4c!!!!
Kwa hiyo na huyu wetu unataka awe anatumia baiskeli? Je, kile kifafa chake kikimpanda itakuwaje? Mwacheni jamani, mtu mwenyewe mgonjwa...