Godbless Lema akamatwa Kajiado akitorokea Kenya yeye na familia yake. Kurudishwa nchini kesho Novemba 9, 2020

Nadhani wamekaa na kukubaliana kuwa hii iwe strategy mpya ya kuharibu image ya nchi baada ya kuukosa ubunge.

Wanajua wakiwa wabunge wanakuwa na Parliamentary Immunity, so wanaweza ongea lolote wakiwa ndani ya bunge.

Kwakua sasa hawana hiyo the ONLY cover ni kuwa wakimbizi wa kisiasa huko watazungumza lolote wakiwa uhamishoni.

Wapinzani ni watu hatari Sana kwa Ustawi wa Taifa letu, ni wabinafsi kupindukia,

Tutaendelea kusikia Taarifa kama hizi toka kwa wengine.
Huo ndio ukweli, usishangae kesho ukasikia mwingine kakimbilia ubalozi wa marekani Zambia.
 
Unauliza Lema Godless ni threat kwa nani? Kama upo kwa shemeji yako au una maslahi na watawala hawa wa mabavu hutoshangaa kuhusu hilo. . ila amini kwamba dikteta anawaogopa watu aina ya Lema kuliko huyo mumeo anavyoogopa kufukuzwa kazi kwa kumteta vibaya Nduli.
Lema hana lolote sana sana labda anataka kurudi kwenye kazi yake ya wizi wa magari toka Tanzania na kuyauza Kenya!
 
We Dada una funza kichwani

Hujasikia ile clip kheri James anasema " sasa hivi ni sindano ya sumu tu pyuuu, kwisha kazi yake" ?????
Alikuwa anamaanisha sumu kama ile ambayo Mr Mzungu alikuwa akiimwaga kila kukicha kila mahali kwenye mkutano wake wa kampeni, dhidi ya Dkt. Magufuli. Hiyo ni lugha tu ya wanasiasa na sayansi ya uongozi, saikolojia & ushawishi. Usikae ukatishika, ukachukulia mambo 'kilalisia' (literally).
 
Mungu sasa ana waswitch wanajiumbua wenyewe.
Lema anakipi mpaka kutishiwa huyu fala?
awanakazi za kufanya hapa bongo ubunge wao umekoma wanatafuta fursa za maisha U.S na Europe wakabebe maboksi kwakisingizio cha kutishiwa kuuwawa.

Mwenye kipi ndiye anastahili kutishiwa?
 
Hii ni fulfillment ya ahadi iliyokuwa inatolewa kwenye kampeni, 'nitaiambia international community' iingilie kati. Baada ya kujaribu ya mandamano ikashindikana, sasa ndo imekuja hii ya kutafuta hifadhi kwenye ubalozi wa marekani (lissu alikuwa anaenda us embassy Dar, lema anaenda us embassy aNbo)!
Point taken
 
Hivi ilikua je hadi Tanzania iliyokuwa Geneva ya Afrika kutumbukia kwenye mkwamo wa kikatili kizandiki ushetani wa utawala usioheshimu utu haki wala utawala wa kidemokrasia?
Mungu rehemu taifa hili linalozama matopeni kwa kasi ya 5G.
Watu wengi hawapendi uzalendo; kiongozi anayeleta maendeleo wanamzodoa na kumtukana eti dikteta uchwara. Dah! Aliyetuletea mdudu demokrasia wa namna hii alitukomesha sana.
 
Lema hana lolote sana sana labda anataka kurudi kwenye kazi yake ya wizi wa magari toka Tanzania na kuyauza Kenya!
Kama upo nje ya genge la Gambo hutafahamu hayo, wewe ni keyboard guard au u just a foreman manipulater hapo Lumumba .
 
Binafsi nisichangie chochote kumhusu.

Ila tu.... kama nchi yangu Tanzania ip katika hii hali wanasiasa wanayotaka kutuaminisha...tusingeshindwa kuingia mtaani na kuwaunga mkono.

Mbona hapa kitaa barida tuu...

Ukiwa kondoo huna tatizo. Nilichokiona kwenye uchaguzi wetu nilijua kwa sasa nchi yetu inaelekea wapi.
 
Democracy is about to die in this country,
and almost all at once, Tanzanian argued about it, and then they tried to fix it.
“The future of democracy is topic number one in the animated discussion going on all over in this country,you sound like you dont live around,please dont try to undermine us,remember the battle we facing is tough one
Ours is a matured democracy. Pls stop lying, OK?
 
Back
Top Bottom