Mbunge wa jimbo la Arusha mjini kamanda Lema siku ya leo amechangisha zaidi ya sh 21 ml, kwaajili ya ukarabati wa shule za jiji hilo, huku yeye kama yeye akitoa kiasi cha sh ml 1.8.
Akitoa shukrani hizo kwa wakazi wa arusha alisema: Arusha yetu tutaijenge wenyewe, tupunguze kula mirungi , bia na hanasa zisizo za lazima tushirikiane kwenye mambo ya kijamii, ili Arusha iwe mfano wa kuigwa.Tunajua watawala roho zinawaumwa kuukosa huu mji, ila msijali sinto waangusha endeleeni kunipa ushirikiano Arusha itaenda mbali sana kiuchumi, thnx guyz mungu awabariki sana
Akitoa shukrani hizo kwa wakazi wa arusha alisema: Arusha yetu tutaijenge wenyewe, tupunguze kula mirungi , bia na hanasa zisizo za lazima tushirikiane kwenye mambo ya kijamii, ili Arusha iwe mfano wa kuigwa.Tunajua watawala roho zinawaumwa kuukosa huu mji, ila msijali sinto waangusha endeleeni kunipa ushirikiano Arusha itaenda mbali sana kiuchumi, thnx guyz mungu awabariki sana