Giggy Money Kawaumbua Mastaa uchwara, sikutegemea kama anakaa Uswahilini

Are these cursed bitches not in custody yet ..!??

Where is the POLICE!???
Najiuliza kama wewe, au ni wanachama waccm? Maana kuna yule mkaa uchi alifungiwa na basata lakini alivyokuwa na ccm kwenye kampeni basata wakasanda
 
Laana zingine za kujitafutia,mwanamke anaeweza kuwa na mtoto kama wewe,unawezaje kumtukana namna hii,usipo fanikiwa unamlalamikia Mungu,kumbe SBB ni wewe mwenyewe.
 
Mi mwenzenu kuona anajianika nyapu kila sehemu nikaimagine atakua anakaa Masaki kumbe wapi anajificha kwenye mabanda sinza sehemu inaojaa maji kama kisiwa.
Nimeelewa kwanini alimtkana mjumbe aliyekata miti yake hakutaka aonekane.
View attachment 631255View attachment 631256View attachment 631258View attachment 631259View attachment 631260View attachment 631261
Amakweli nimeamini ile kauli
"Huwezi kumcompare gigy na huddah"
Kumbe biashara ya nyapu nsyo hali mbaya!!!
Mbona Yale machupi yake siyaoni!
 
Daaah ila anazid kupungua tu ....sio bure huyu Gigy .....waliotembea nae wakapime Rapid Test .
 
Maisha ya kuiga
Kumbe ulikuwa huwajuwi hawa?! Wote wako hivi, wachache ni kweli wamepanchi na wanaishi maisha wastani, ni kuiga na kuigiza mtindo mmoja, sishangai hata kidogo..Ila inasikitisha na kwa kulaghai watu kwenye mapicha Instagram na Facebook, kuna siku niliona anapokaa Sanchi na wazazi wake nilipigwa butwaa...Wanawalaghai watoto wetu wa kike hawa..
 
Hivi wasanii wetu mtaacha lini kuishi kwa KIK,na kujionesha matawi ya juu kumbe choka mbaya, Gigy wewe wakusema unanumua nywele za mill.6 lakini nyumbani unayokaa ndio hii hata 20,000 haizidi per month,Ona sasa umehamia sehemu duni lakini pia umekosa nidhamu kwa mwenyeji wako.
 
Hivi wasanii wetu mtaacha lini kuishi kwa KIK,na kujionesha matawi ya juu kumbe choka mbaya, Gigy wewe wakusema unanumua nywele za mill.6 lakini nyumbani unayokaa ndio hii hata 20,000 haizidi per month,Ona sasa umehamia sehemu duni lakini pia umekosa nidhamu kwa mwenyeji wako.

 
Back
Top Bottom