Gharama za matibabu ya Spika wa Bunge, Job Ndugai, nchini India kwa kipindi cha miezi mitano ni kufuru!

Lililotatanisha zaidi ni kwamba safari ya Spika Job Ndugai huko India ilifichwa hadi wananchi walipoanza kupaza sauti na kuanza kuulizia alipo spika. Ni hapo ndipo Katibu wa Bunge wakati huo Bw. Thomas Kashililah alipojitokeza na kusema Spika yuko nje ya nchi kwa uchunguzi wa afya yake bila kusema yuko nchi gani wala kinachomsumbua.

Wananchi walipozidi kudadisi, Bw. Kashililah alidai kwamba Bw. Ndugai yuko nje kwa uchunguzi tu na kwamba mtu yeyote anaweza kumpigia simu na kuongea naye na kwamba hii ilikuwa ni safari ya pili kwenda kwa madhumuni hayo hayo. Na kweli gazeti la Mwananchi ilipopiga simu ilipokelewa na Ndugai mwenyewe na kukiri yuko India...

Safari ya kwanza kwenda kutibiwa ilikuwa ni siri kubwa na hadi leo ufafanuzi wa kueleweka haujawahi kutolewa...maajabu! Safari siri, Ugonjwa siri, gharama ya matibabu siri...yani kodi zetu zinatumika kisirisiri!
 
Hakuna anayejua kwa uhakika Bw. Job Ndugai alikuwa anaumwa ugonjwa gani uliosababisha hadi ofisi yake ihamishiwe 5-star hotel nchini India ambako alichukua VIP suite nzima. Mpaka sasa gharama za matibabu yake ni siri kama ulivyo ugonjwa wake.
Mkuu Mag 3, kwanza asante kwa taarifa yako ya posho ya Mhe. Spika alipokuwa matibabuni nchini India.

Tuendelee kujadili hizi posho, 5 star hotel na kuhamishia ofisi India, lakini tusijadili ugonjwa wa mtu. Ugonjwa wa mtu ni siri ya mgonjwa na Daktari wake na familia yake, na kama ni mtumishi wa serikali, or whoever pay the bills, pia anajulishwa analipia nini. Hizi sio public domain info ni private hivyo zina kinga ya the right to privacy, tujadili lakini tusivuke mipaka.

Viongozi wetu wengi ni wagonjwa japo wengine wanaonekana fit hadi kupiga push ups but they are sick na ugonjwa ni siri ya mgonjwa na Daktari wake na familia yake hivyo natoa wito tuuheshimu usiri huu.

P.

Serikali: Marufuku kutibiwa nje maradhi yanayotibika katika hospitali za nyumbani - JamiiForums

DCI Manumba: Mwakyembe hajalishwa sumu! - JamiiForums
 
Kama alimshushia mtu gongo la kichwa kwenye kura za maoni jimboni kwake.Mnashangaa nini kuhusu roho ya huyu kiumbe.Amna spika mule ni ceremonial tu.Kazi yake ni kupiga mihuri ya matakwa ya Jiwe.

Nchi ipo gizani hii.Kuna madudu yanafanyika chini ya kapeti aisee.Siku yakija kufunuliwa tutajuta.
 
Kwa uchambuzi wa ripoti ya CAG, Bw. Job Ndugai alikaa India kwa miezi mitano, sawa na siku 150. Kwa siku moja alilipwa posho ya dola 500 sawa na Sh. 1,160,100.00, na hivyo kwa miezi mitano alilipwa dola 75,000 sawa na Sh. 174,015,000.00.

Akiwa India alikuwa na wasaidizi wawili – maana alihamishia ofisi yake huko huko hotelini. Kwa gharama ya dola 450 sawa na Sh. 1,044,090.00 kila moja kwa siku, walilipwa dola 900 sawa na Sh. 2,088,180.00 kwa siku. Kwa siku 150 walizokaa India, walilipwa dola 135,000 sawa na Sh. 292,950,000.

Kwa ujumla, matibabu ya Ndugai kwa miezi mitano huko India yalitumia posho za sh. 466,965,000. na hapo bado gharama za hospitali huko India, na tiketi za ndege kwa watu wote hao, na bado gharama alizokuwa anatumia mkewe.

Takwimu hizi zilikuwa ni kwa mujibu wa ukaguzi wa CAG katika Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto katika hospitali za India.

Wakati huo huo tusisahau kuwa Bw. Job Ndugai aliendelea kupata mshahara wake na posho zake kama Spika wa Bunge ambazo idadi yake naomba kama kuna watu humu wanazijua watusaidie kuzitoa.

Hakuna anayejua kwa uhakika Bw. Job Ndugai alikuwa anaumwa ugonjwa gani uliosababisha hadi ofisi yake ihamishiwe 5-star hotel nchini India ambako alichukua VIP suite nzima. Mpaka sasa gharama za matibabu yake ni siri kama ulivyo ugonjwa wake.
Watu wengine wanafikiri pesa za watanzania ni zao peke yao.

Wanafikiri wao wanapoamua kuzitumia hakuna atakaowahoji.

Ipo siku watatueleza kwanini wao wanazitumia hizi pesa na wengine wanakatazwa?
 
Mkuu Mag 3, kwanza asante kwa taarifa yako ya posho ya Mhe. Spika alipokuwa matibabuni nchini India.

Tuendelee kujadili hizi posho, 5 star hotel na kuhamishia ofisi India, lakini tusijadili ugonjwa wa mtu. Ugonjwa wa mtu ni siri ya mgonjwa na Daktari wake na familia yake, na kama ni mtumishi wa serikali, or whoever pay the bills, pia anajulishwa analipia nini. Hizi sio public domain info ni private hivyo zina kinga ya the right to privacy, tujadili lakini tusivuke mipaka.

Viongozi wetu wengi ni wagonjwa japo wengine wanaonekana fit hadi kupiga push ups but they are sick na ugonjwa ni siri ya mgonjwa na Daktari wake na familia yake hivyo natoa wito tuuheshimu usiri huu.

P.

Serikali: Marufuku kutibiwa nje maradhi yanayotibika katika hospitali za nyumbani - JamiiForums

DCI Manumba: Mwakyembe hajalishwa sumu! - JamiiForums

Sawa tusijadili ugonjwa wa mtu Kwahiyo Spika juzi alipokuwa anasema atasitisha mishahara yote ya Lisu kisa hajui anaunwa nini na hana ripoti ya ugonjwa wake alikua anamaanisha nini? Think Big
 
Kuna kale kamsemo "ukiwa muhongo chunga sana usisahau" Naona brother alifikiri yake ni siri kama anavyolazimisha ripoti nyingi na masuala mtambuka kuwa siri. Kwa kuwa ameleta ugomvi wa mawe ngoja nyumbani yake ya vioo irindimwe na watu makini wa data
 
Kwa uchambuzi wa ripoti ya CAG, Bw. Job Ndugai alikaa India kwa miezi mitano, sawa na siku 150. Kwa siku moja alilipwa posho ya dola 500 sawa na Sh. 1,160,100.00, na hivyo kwa miezi mitano alilipwa dola 75,000 sawa na Sh. 174,015,000.00.

Akiwa India alikuwa na wasaidizi wawili – maana alihamishia ofisi yake huko huko hotelini. Kwa gharama ya dola 450 sawa na Sh. 1,044,090.00 kila moja kwa siku, walilipwa dola 900 sawa na Sh. 2,088,180.00 kwa siku. Kwa siku 150 walizokaa India, walilipwa dola 135,000 sawa na Sh. 292,950,000.

Kwa ujumla, matibabu ya Ndugai kwa miezi mitano huko India yalitumia posho za sh. 466,965,000. na hapo bado gharama za hospitali huko India, na tiketi za ndege kwa watu wote hao, na bado gharama alizokuwa anatumia mkewe.

Takwimu hizi zilikuwa ni kwa mujibu wa ukaguzi wa CAG katika Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto katika hospitali za India.

Wakati huo huo tusisahau kuwa Bw. Job Ndugai aliendelea kupata mshahara wake na posho zake kama Spika wa Bunge ambazo idadi yake naomba kama kuna watu humu wanazijua watusaidie kuzitoa.

Hakuna anayejua kwa uhakika Bw. Job Ndugai alikuwa anaumwa ugonjwa gani uliosababisha hadi ofisi yake ihamishiwe 5-star hotel nchini India ambako alichukua VIP suite nzima. Mpaka sasa gharama za matibabu yake ni siri kama ulivyo ugonjwa wake.
Huwa siyo ustaarabu kumtukania mtu ugonjwa lakini huyu kaxidi kuwa unpopular
 
Sawa tusijadili ugonjwa wa mtu Kwahiyo Spika juzi alipokuwa anasema atasitisha mishahara yote ya Lisu kisa hajui anaunwa nini na hana ripoti ya ugonjwa wake alikua anamaanisha nini? Think Big
Japo Mbunge ni mtumishi wa watu waliomchagua na ndio wanaomlipa mshahara kupitia kodi zao, lakini the accounting officer, yaani afisa masuhuli ni Katibu wa Bunge, hivyo japo Lissu anajulikana ameshambuliwa na ametibiwa hospital ya Dodoma, Nairobi na sasa Belgium, ofisi ya Bunge inapaswa kupatiwa taarifa rasmi ya maendeleo ya afya yake ama kutoka kwa Lissu mwenyewe au kutoka kwa familia, kuueleza uongozi wa Bunge kuwa mgonjwa wao bado anaendelea na matibabu na huko kuonekana akitembelea huku na kule sio kuzurura au utoro bali ni maendeleo tuu ya tiba kwa mtindo wa rehabilitation.

Spika has the right to demand kupatiwa taarifa rasmi, ila kiofisi, baada ya Shambulio lile, Bunge kama Bunge lilipaswa kumtuma welfare officer wao kumuona mgonjwa wao na kupokea taarifa rasmi ambayo angeileta ofisini na Bunge ndilo lilipaswa to foot all the bills. Bunge halikutimiza wajibu wake kwa mgonjwa wao hivyo limepoteza all the legitimacy to demand taarifa rasmi, hivyo kilichobaki sasa ni kumsubiri tuu Lissu atarejea lini.

P
 
Back
Top Bottom