Ndibalema
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 10,956
- 4,648
Jamani wana Jf naomba msaada wenu.
Kuna jamaa yangu wa karibu ameniuliza hili swali nimeshindwa kumpa jibu.
Alipata bahati ya kutembelea nchi za jirani na Tanzania zikiwemo Rwanda, Burundi, Congo na Zambia.
Ameniambia huko amekuta bei ya mafuta yaani Petrol, disel na mafuta ya taa ipo chini kuliko huku kwetu wakati nchi hizo zinasafirisha mafuta hayo kwa kupitia bandari yetu ya Dar es salaam, hivyo inawacost gharama za usafirishaji lakini sisi ambao bandari hiyo ipo nchini kwetu lakini bado gharama zipo juu kuliko wao.
Tatizo hapo ni nini?
Kuna jamaa yangu wa karibu ameniuliza hili swali nimeshindwa kumpa jibu.
Alipata bahati ya kutembelea nchi za jirani na Tanzania zikiwemo Rwanda, Burundi, Congo na Zambia.
Ameniambia huko amekuta bei ya mafuta yaani Petrol, disel na mafuta ya taa ipo chini kuliko huku kwetu wakati nchi hizo zinasafirisha mafuta hayo kwa kupitia bandari yetu ya Dar es salaam, hivyo inawacost gharama za usafirishaji lakini sisi ambao bandari hiyo ipo nchini kwetu lakini bado gharama zipo juu kuliko wao.
Tatizo hapo ni nini?