Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,287
- 10,700
Hatudanganyiki mkipitisha bomba kwenye ardhi yangu nilipeni.
Upo sawa asilimia mia moja hakuna cha bure lazima walipe kama wao watasambaza bure kimpango wao,no one operates at loss
Hatudanganyiki mkipitisha bomba kwenye ardhi yangu nilipeni.
mkongo wa taifa ukikamilika gharama za simu na data zitapungua tz. Mpaka leo vumbi tu
Utafungiwa bure lkn mita ya luku utaiogopa na sasa hivi mita zinafungwa juu kwenye nguzo hata kuchakachua ngumu
Homa ya uchaguzi mkuu.Upo sawa asilimia mia moja hakuna cha bure lazima walipe kama wao watasambaza bure kimpango wao,no one operates at loss
Halafu unarecharge vipi sasa ikikaa huko kwenye nguzo?Utafungiwa bure lkn mita ya luku utaiogopa na sasa hivi mita zinafungwa juu kwenye nguzo hata kuchakachua ngumu
Halafu unarecharge vipi sasa ikikaa huko kwenye nguzo?
Utafungiwa bure lkn mita ya luku utaiogopa na sasa hivi mita zinafungwa juu kwenye nguzo hata kuchakachua ngumu
Kampeni hizo,
ngoja nijipange ili nifaidi kidogo.
Kwa remoti yake.....
Ikiisha hujarecharge hesabu kulala giza maana nimpaka tanesco waje