ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,128
- 49,863
Wizara ya Fedha ya Ghana Kupitia Waziri wake imemuomba na kumtahadharisha Rais Nana Akufo Ado kughairi kusaini Mswaada wa kupinga Ushoga kuwa sheria.
Bunge la Ghana liliandika msawaada huo na Sasa inasubiriwa Saini ya Rais ili iwe sheria.Mswaada huo unatoa adhabu Kali Kwa Mashoga na Ushoga ikiwemo kuharamisha kabisa vitendo hivyo.
Kwa mujibu wa Wizara ya Fedha ni kwamba Nchi hiyo inayopitia kipindi kigumu Cha kiuchumi na kutegemea mikopo kutoka Mashirika ya Kimataifa kama Benki ya Dunia inaweza kuingia kweymgogoro mkubwa zaidi wa kiuchumi endapo Jumuiya za Kimataifa zitasitisha kutoa mikopo na Misaada kutokana na sheria hiyo.
Ghana ilitangaza kufilisika Kwa Kushindwa Kulipa Madeni (default) mwaka Jana,hivyo inategemea Misaada ya WB.
View: https://twitter.com/allafrica/status/1765031034272219172?t=mPYKMCtoqW_R0_KeuB-Ycw&s=19
==================
Ghana's finance ministry has reportedly cautioned President Nana Akufo-Addo against endorsing an anti-LGBTQ bill, citing potential dire economic consequences.
The ministry warned that approving the bill could result in Ghana losing significant financial support from the World Bank, amounting to billions of dollars.
The bill, which was recently approved by lawmakers, seeks to severely restrict LGBTQ rights in Ghana.
Ghana, like many African countries, is reliant on loans from the International Monetary Fund (IMF) and World Bank to stabilize its economy.
According to a leaked document, the finance ministry estimates that Ghana stands to lose approximately $3.8 billion in World Bank financing over the next five to six years if the bill is endorsed.
President Akufo-Addo now faces a challenging decision as he weighs the implications of the bill.
Bunge la Ghana liliandika msawaada huo na Sasa inasubiriwa Saini ya Rais ili iwe sheria.Mswaada huo unatoa adhabu Kali Kwa Mashoga na Ushoga ikiwemo kuharamisha kabisa vitendo hivyo.
Kwa mujibu wa Wizara ya Fedha ni kwamba Nchi hiyo inayopitia kipindi kigumu Cha kiuchumi na kutegemea mikopo kutoka Mashirika ya Kimataifa kama Benki ya Dunia inaweza kuingia kweymgogoro mkubwa zaidi wa kiuchumi endapo Jumuiya za Kimataifa zitasitisha kutoa mikopo na Misaada kutokana na sheria hiyo.
Ghana ilitangaza kufilisika Kwa Kushindwa Kulipa Madeni (default) mwaka Jana,hivyo inategemea Misaada ya WB.
View: https://twitter.com/allafrica/status/1765031034272219172?t=mPYKMCtoqW_R0_KeuB-Ycw&s=19
==================
Ghana's finance ministry has reportedly cautioned President Nana Akufo-Addo against endorsing an anti-LGBTQ bill, citing potential dire economic consequences.
The ministry warned that approving the bill could result in Ghana losing significant financial support from the World Bank, amounting to billions of dollars.
The bill, which was recently approved by lawmakers, seeks to severely restrict LGBTQ rights in Ghana.
Ghana, like many African countries, is reliant on loans from the International Monetary Fund (IMF) and World Bank to stabilize its economy.
According to a leaked document, the finance ministry estimates that Ghana stands to lose approximately $3.8 billion in World Bank financing over the next five to six years if the bill is endorsed.
President Akufo-Addo now faces a challenging decision as he weighs the implications of the bill.