2013 lakini hapo imesemwa GSM KAANZA umiliki wa eneo hilo 2016..ina 2013 hakuwa mmiliki wa hilo eneoHuyu mwanasheria ni poyoyo, huo ushahidi wa GSM ni wa kubumba maana mwenzake kaleta ushahidi wa tangu 2013. Pamoja na udhaifu wa Makonda hapo Riziwani Kikwete anahusika na hii kitu nawahakikishia itakuja kumgharimu yeye na huyo GSM.
Sasa kama huyu ni kijana wake tu,fikiria jiwe mwenyewe alikuwaje
Huyu mwanasheria ni poyoyo, huo ushahidi wa GSM ni wa kubumba maana mwenzake kaleta ushahidi wa tangu 2013. Pamoja na udhaifu wa Makonda hapo Riziwani Kikwete anahusika na hii kitu nawahakikishia itakuja kumgharimu yeye na huyo GSM.
Nadhani anayedai kudhulimiwa ndiye yapasa aende kwa court ku-file his claims.Wakili msomi anakimbilia kuongea na waandishi wa habari badala ya kwenda mahakamani. Huyu ndiye aliwadanganya yanga morison ni mchezaji halali kwa vielelezo vya kugushi vya gsm
Huyu mwanasheria ni poyoyo, huo ushahidi wa GSM ni wa kubumba maana mwenzake kaleta ushahidi wa tangu 2013. Pamoja na udhaifu wa Makonda hapo Riziwani Kikwete anahusika na hii kitu nawahakikishia itakuja kumgharimu yeye na huyo GSM.
View attachment 2147932
Ushahidi wa 2013 mihuri iko chini ya picha hujioni ni mjini hata kusema hivyo !? kiufupi makonda wako kapigwa toka siku ya kwanza ana sign hiyo mikataba yakurudisha nyuma tarehe eti 2013 !!?
Who was makonda 2013 hata udc hana soma hiyo nilokutumia mkataba huwo fake alosainishwa 2017 wakaurudisha nyuma 2013 ili isionekane alikua madarakani
All in all, sioni haja ya GSM na utajiri wake kuanza kukimbizana na vitu vidogo vya kijinga kwa mgogo wa wanasiasa. Alipaswa atulie achovuna kwa kukwepa kodi ya nchi yetu kinamtosha. Walinzi wa taifa wanamuangalia tu na uhalali wa uraia wake na kuiibia nchi kupitia kodi. Iko siku atakuja kujuta!
Hata mmnilisema hvyoHuyu mwanasheria ni poyoyo, huo ushahidi wa GSM ni wa kubumba maana mwenzake kaleta ushahidi wa tangu 2013. Pamoja na udhaifu wa Makonda hapo Riziwani Kikwete anahusika na hii kitu nawahakikishia itakuja kumgharimu yeye na huyo GSM.
You are the Devil proper bababikko!bababikko this is the bottom line,ikiona mabeberu wanapenda kiongozi yeyote,know for sure,he is collaborating with him in stealing or pinching the resources of his country.Magufuli alichukiwa na mabeberu upeo,that alone should give you a picture of his character.magufuli was a devil now is in hell
GSM ana akili kama za ndugu yangu Riziwani. Dkt Magufuli aliwaheshimu, Riziwani pamoja na kashfa zake zote Dkt Magufuli hakuwa kumdhalilisha, bali yeye alisimamia misingi ya ukweli ya uzalendo, akawabana ili marafiki zao wasikwepe kodi, leo hii Riziwani ni mtu wa kufoji document ili kufanikisha jambo la kisiasa, hivi hawajui timu ya walinzi wa taifa inawaangalia tu???? Just the matter of time watalia na kusaga menomaadishi kwenye hati mbona kama imeandikwa jana. maana maandishi ya 2017 yatakuwa yamefubaa kidogo
Kwaakili ya harakaharaka bashite alipewa makaratasi feki akajua mchezo umeisha kumbe wenzake watoto wa mjini wakawa wanamlia timing tuu sasa kajaa kwenye 18.Makonda nae Atoe vielelezo ili Mamlaka husika ivichunguze Luna VIELELEZO VYA KUGUSHI ili mhusika na Wahusika WASHTAKIWE
Iko siku wahindi na wenye asili za akina GSM tutawafukuza wote. Sijui anatokea nchi gani. Kinachokera ni ujinga wa kuhusisha kila jambo eti Dkt Magufuli alikuwa mbaya. Nyie subirini, mtakuja tiwa adabu very soon.