Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,780
Pole mwayego. Usisumbue sana kula eeh muuguzaji asije akakata tamaa.
Ila mpime pia nanihii basi.
ngoma we're checked already!
Pole mwayego. Usisumbue sana kula eeh muuguzaji asije akakata tamaa.
Ila mpime pia nanihii basi.
pole uncle Judgement Mungu atakuponya
pole jg mwenyezi mungu atakuafu!
Pole sana JG!
Mungu akuponye!
He got wat a patient needs wit me no problems kabisaa
Nikadhani aim yako ni kuniombea recovery soon!
Kumbe mmh !
Nway am acknowledge your present in this sredi .
He he he he, get well soon.
Mweleze mkeo awe anasema jina lako vizuri
Lol, umenikumbusha siku moja tuko msibani kijijini kwetu huko umang'atini. Akaja mdada, tumesimama na wazee tunapeana habari za mjini na kuwadanganya hela tumeziotea. Kaja hi-hi, 'samahani, eti mumemona wapi D?'
mi nikaangua kicheko manake najua wanaitanaga na mwenzi wake darling ama d hadharani. Nikamuambia amelala, nikamuamshe? Yeye akapata msg kuwa namuongelea d wangu. Wazee wanauliza d ndo nani? Tukawayeyushia hapo.
hilo litakuwa jina la chumbani limemponyoka nahisi.
Ha ha ha ha ha
Ache tu, kuna majina mkizoezana kuitana yaweza waumbua hadharani.
Umenikumbusha kitu, ila sisemi ng'o maana am 'shy':eek2:
He he he he, get well soon.
Mweleze mkeo awe anasema jina lako vizuri
Lol, umenikumbusha siku moja tuko msibani kijijini kwetu huko umang'atini. Akaja mdada, tumesimama na wazee tunapeana habari za mjini na kuwadanganya hela tumeziotea. Kaja hi-hi, 'samahani, eti mumemona wapi D?'
mi nikaangua kicheko manake najua wanaitanaga na mwenzi wake darling ama d hadharani. Nikamuambia amelala, nikamuamshe? Yeye akapata msg kuwa namuongelea d wangu. Wazee wanauliza d ndo nani? Tukawayeyushia hapo.
hilo litakuwa jina la chumbani limemponyoka nahisi.
Usijali Kongosho wetu!
Overlookin it may happen anywhere!
Hawajambo huko kwa Mfaranyaki , no i mean kwa Mtogole ? Au nilisikia vibaya unapoishi, hebu nikumbushe .
Sasa hivi nimetajirika, nimehamia kwa 'Popobawa' kwenye lile gorofa jeupe
Duuh !
Hongera , hata hivyo nimebumbuwaa kukusikia eti unamlaghai King'asti , eti una aibu kutaja neno flani !
Hizi aibu umezianza lini weyee ? Kama si uzza'ndikk !
Heh, hujui wewe??
Nina aibu kweli, kama unabisha muulize baba watoto wangu.
Imebidi atafute njia mbadala ya kutengezeza watoto via food