Germany - Dr. Slaa alivyojidhihirisha kwa ulimwengu

Kweli ni lazima uwe mzuri kichwani,hasa wanaangalia jinsi unavyoendesha harakati zako za ukombozi(unazodai unafanya),unajua kama unategemea misaada,halafu unaishi maisha ya juu,ukifumbia macho ubadhilifu,uzembe, mwenendo huu unawaudhi sana wafadhili hasa ukichukulia na wao mambo ni magumu kifedha.Kwa hiyo basi,ni dhahili chadema watazidi kukubalika nje na ndani.Hii njia itamuumiza sana JK na chama chake.
 
Wewe mwenyewe umesema aliakilisha CHADEMA. Kunauhusiano wowote na Seruikali ya Tanzania kweli, Mbona ZITTO kila wikin anakwenda huko, mbona msiseme anavyoitisha Serikali kwa kwenda kwake huko, kwani huyu mwiizi wa wake za watu yeye ni nani? Kuna tofauti gani na kukutanan na chama chochote rafiki chan kule kenya, uganda na Rwanda? Kila mtu anajua CDM ni chama rafiki na chama kimojawapo kule Ujerumani.
Wewe ukiangalia kwenye kundi hilom kuna kiongozi gani wa juu sana yuko hapo kwa kwa vile ni Wazungu?
mkuu unawivu ,duh! chunga sana ,wivu ni kidonda atii!
 
Huu mkutano mbona wa Kawaida Chadema kwa ushabiki, halafu ukitaka kujua kama huu ni wa kawaida sana kuna jamaa mmoja amekaa kulia makaratasi ya mkutano kayaweka chini...Slaa kapendeza kaachana na magwanda.
Mzee wa 'suruali fupifupi' a.k.a kipedo na wewe unaujua utanashati wa kuvaa suti?
 
Hapo Slaa ameng'aa sana kumbe hii M4C ndio inamfanya anachakaa!

Mkipata urais sijui mtawalipa nini hao wajerumani
 
Ishu ya kuzaa akiwa padri bado imefikia wapi manake sasa wanamgombania
 
DR. SLAA AT THE KAS-DAY Also available in Deutsch

50 years of worldwide democracy - under this slogan renowned politicians from Germany and across the world looked back on the "impressive success story" of KAS during this year´s KAS-Day which took place in Berlin on the 27th of June. Among the discussants was Dr. Willbrod Slaa, Secretary General of CHADEMA, the Tanzanian partner party to KAS. He shared experiences with politicans from Myanmar, Belarus and Venezuela on the topic "No future for dictators, people want freedom".

Mimi ni hapo tu ndio nimefurahi sanaaaa, so tusubirie tuone hii movement, hawa CCM muda wao umeshaisha tayari na hawana mpya sasa hivi.....
 
hoja ni slaa kakaa na wazungu mbona hatuoni cha maana hapo? chadema acheni ujinga!
 


FYI all them POLITICIANS from all the NATIONS they were from OPPOSITION POLITICAL PARTIES

So VENEZUELA was the participating Party was not from the Ruling So called Dictator Hugo Chavez; It was Opposing

Party; Same as Belarus as well as Myanmar and Tanzania

* IF YOU ARE A CRITIC; PROVE YOUR STATEMENT by doing a deep down research first!!!
Imagination is more important than knowledge...

I am sorry.So, what's your point? I mean, what are you trying to say?
 
Huu mkutano mbona wa Kawaida Chadema kwa ushabiki, halafu ukitaka kujua kama huu ni wa kawaida sana kuna jamaa mmoja amekaa kulia makaratasi ya mkutano kayaweka chini...Slaa kapendeza kaachana na magwanda.

Mkuu wangu saa zingine nadhani kama hamna cha kuongea naona bora ni kukaa kimya, hivi umekaa kabisa na kuandika hiyo comment??Unaweza kuirudia na kuisoma tena please ulichokiandika??Mara jamaa amekaa kulia makaratasi sijui ameweka chini, mara doctor slaa kapendeza kaachana na magwanda ni too low kwa mtu kama wewe kuandika hivi mkuu wangu.
 
Duh!! Kwani akienda Dr. Slaa au Zitto tofauti ni nini? Mimi nadhani mipangilio ndani ya chama tu!!!

Candid ameanzia uzi wa Dr. Slaa kuwa huko! Watu wame amua kuja na agenda zao!! Ngoja nikalale maana masaa ya kubeba mabox yanakaribia bana!!!
 
'BLACK SPRING AFRICA': A SURE KEY-HOLE FOR THE CONTINENT'S YOUTHS TO STEER CLEAR OF DICTATORIAL TENDENCIES AND CORRUPT REGIMES

The German International Symposium coined theme "No future for dictators, people want freedom", for certain, most candidly echoes the exact heart-beat rythms that has since pre-occupied many a mind of the historically down-trodden masses of the African continent for one.

Thus, in a more responsive manner, soon and very soon there shall come to shake a very heavily loaded democratic tides and currents of
'BLACK Spring Africa' almost in every other closed-up society and it is going to be most agitatively whispering on the way coming.

Indeed, the new development shall seek to put the scoanfully considered sections of our society at the head of the main tables and dictators to replace their former positions.

A wind of change that is soon going to breath freedom to every other reform-minded soul shall be much more than just bound to sweep clean across the continent all dictatorial tendencies.

Sure, this new and historic development is going to open up major avenues of freedom for the bulwalk of down-trodden sections of our societies shall be the bottomline of everything.

A cleaner break with the past is here and now for all not just the selected-few sacred cows!

Yes, it all begins with you and closes with you in order that the current dictatorial chains and endless corruption instances are permanently arrested.

Like was the case in Egypt, Tunisia, and many other parts of the Arab World, only understandable language by dictorial regimes is and now; through peaaciful and democratic means the masses are now going to stand up and say in one accord - ENOUGH IS ENOUGH!!

And with that single statement all chains of corruption, dictatorship and election results manouvering shall come down tambling to great amazement of the perenially weak aand voiceless members of our societies.

Keep you heels well warmed up for the Great Trek sooner than ever since it is the only best language to take home!

mkuu umetiririka kama Mwita25. Sijui yuko wapi huyu jamaa.
 
Huu mkutano mbona wa Kawaida Chadema kwa ushabiki, halafu ukitaka kujua kama huu ni wa kawaida sana kuna jamaa mmoja amekaa kulia makaratasi ya mkutano kayaweka chini...Slaa kapendeza kaachana na magwanda.

Kuweka makaratasi chini ipo sana 'prince' wangu kwenye makongamano ya kimataifa. Hata hapa kwetu wakati amekuja Koffie Annan (akiwa S/General) kulifanyika mkutano mkubwa pale Golden Tulip na watu waliweka makaratasi chini vizuri kabisa. And guess what? hakuna aliyeota poteza fahamu kwa sababu makaratasi yako chini? Sio kila mtu anapenda ufalme na kuzunguka na viti na vimeza kila mahali.

Anyway, to water-down the significancy ya huo mkusanyiko simply because mtu kaweka makatasi chini ni kupotea njia.

Halmashauri ya kamati kuu ya fitna imekazana kuangalia afya, mkono, na hata makaratasi yamekaa wapi, lakini sijaona ni wapi wamejaribu kudadisi ni kitu gani kiliongelewa? No wonder tunaibiwa hela bank kuu maana tunakazana na vitu ambavyo sivyo. Safari ndefu.
 
Hapo angekuwepo 'Manufacturing of Teachers' ingekuwa ni kulowana kijasho tu na pumba zake za uk.we.reni...


oOHH Sweke umemaliza friday yangu vizuri ngoja nikapate japo Serengeti moja baariiidi kwanza!
 
Back
Top Bottom