Kagosaki
JF-Expert Member
- Feb 11, 2010
- 208
- 56
Jamani hici majuzi nilikwenda kutengeneza gari langu pale gereji ya wachina iliyoko karibu na Rose Garden. Baada ya matengenezo yaliyodumu saa 4, gari ilitulia kabisa na wakaniambia gharama ambapo nililipia ndani dirishani. Then nikawa nimesubiri hapo risiti. baadae wakaniambia risiti haiko. Nikauliza kulikoni? Wakasema hawatoi risiti. hapo kuna watu wanatengeneza magari na wanalipa hadi milioni 4! Mimi najiuliza, Rose garden sio mbali, ni mjini hapa hapa. Iweje serikali inashindwa kufuatilia mambo haya?