Hivi karibuni niliulizwa jinsi ya kuandika maneno haya kwa Kiswahili! Naomba msaade jamvini hapa. Labda vijisehemu hapo chini vitafaa kwa njia moja au nyingine kufanya hii:
1. kuathirika kijenetiki
2. ufundi wa kinasaba
3. teknolojia ya vinasaba
4. kuumba viumbe kwa njia ya vinasaba.
5. ufundi wa kutumia chembe za jinsia na za uzazi
6. teknologia ya viinitete
1. kuathirika kijenetiki
2. ufundi wa kinasaba
3. teknolojia ya vinasaba
4. kuumba viumbe kwa njia ya vinasaba.
5. ufundi wa kutumia chembe za jinsia na za uzazi
6. teknologia ya viinitete