Pale siku hizi ni eneo la kufanyia bonanza la "kitambi noma!"
Lowasa anasubiri mpaka atakapo ingia ikulu ndio afanye ghala la kuhifadhia mali zake.kwa sasa ni eneo la kufanyia mazoezi watu wenye vitambi kama sisi,panaitwa KITAMBI NOMA GROUND.
NDC wamepata mbia ambaye ameshatoa fungu la fedha kwa ajili ya kukifufua kiwanda. Kitaanza kufanya kazi baada ya miezi michacheWakuu leo nimepita katika maeneo ya kiwanda cha General Tyres kuelekea njiro (Arusha) nikaona kuna ukarabati unaendelea pale.
Kiwanda hiki kimesimamisha uzalishaji kwa zaidi ya miaka kumi sasa. tafadhali kwa mwenye habari kamili anijulushe tafadhali
Pale siku hizi ni eneo la kufanyia bonanza la "kitambi noma!"
Wanapaka rangi majengo.... nafikiri anayesimamia hilo amefanya vizuri.. kwani majengo yalikuwa yamechakaa sana! Tunajua mashine zake zipo kenya zikitumiwa na sameer tyres zikitengeneza matairi yale yale lakini leo yanitwa yana!! yanaingizwa nchini kama mali toka nje masikini!!! wakati ukweli ni kwamba yametengenezwa na mashine zetu alizotuachia Nyerere lakini leo zimepelekwa nje ili walafi wachache waweze kufaidika.