comrade joka kuu,
..., hilo eneo liliitwa farm 17, lipo mtwara, pale, ilikua ni training camp ya wapiganaji wa msumbiji, zimbabwe na south africa(anc)...,
lipo NACHINGWEA, Mtwara - ni kati ya mashamba aliyoyaanzisha mwingereza kwa ajili ya kilimo cha karanga baada ya vita kuu kulisha viwanda vya mafuta vya kwao. Mashamba mengine ya aina hiyo yalikuwa na yapo Urambo Tabora na Kongwa. hata hivyo mafanikio hayakuwepo na badala yake akapandikiza nyoka na scorpions wengi Nachingwea katika harakati za kuwakabili panya - toto tundu kwa karanga