Wakuu
kuna kuna jamaa mmoja anafanya kazi uhuru media na amenidokeza kuwa gazeti la Uhuru linajiendesha kwa hasara na kwa kutegemea ruzuku katika chama kutokana na kususiwa na jamii kubwa ya watanzania na hivyo kubaki kutawanywa bure katika ofisi za ccm na kubaki kusomwa na wana ccm wenyewe hapo ndipo nilipongundua kuwa kweli wafu watazika wafu wenzao
kuna kuna jamaa mmoja anafanya kazi uhuru media na amenidokeza kuwa gazeti la Uhuru linajiendesha kwa hasara na kwa kutegemea ruzuku katika chama kutokana na kususiwa na jamii kubwa ya watanzania na hivyo kubaki kutawanywa bure katika ofisi za ccm na kubaki kusomwa na wana ccm wenyewe hapo ndipo nilipongundua kuwa kweli wafu watazika wafu wenzao