ndo maana JK alilifungiaga
Ni kweli ni gazeti la Kenya
ndo maana JK alilifungiaga
Hata kama tunasoma The East African wanafanya propaganda, let's be honest. Nimefanya kazi na NMG pamoja na baadhi ya media houses hapa kwetu jamani NMG ni level nyingine. Hapa Bongo hakuna media house utakayoilinganisha na NMG ambao ni wachapishaji wa The East African, Daily Nation, Taifa Letu huku Mwananchi Communications Ltd ikiwa ni subsidiary yake. Nikiwa kama mtu ninaependa kujifunza mambo mazuri let's accept ubora wa The East African.
Ila waache propagandaHata kama tunasoma The East African wanafanya propaganda, let's be honest. Nimefanya kazi na NMG pamoja na baadhi ya media houses hapa kwetu jamani NMG ni level nyingine. Hapa Bongo hakuna media house utakayoilinganisha na NMG ambao ni wachapishaji wa The East African, Daily Nation, Taifa Letu huku Mwananchi Communications Ltd ikiwa ni subsidiary yake. Nikiwa kama mtu ninaependa kujifunza mambo mazuri let's accept ubora wa The East African.
Yes they are intelligent propagandists, that's what makes them more dangerous.Hata kama tunasoma The East African wanafanya propaganda, let's be honest. Nimefanya kazi na NMG pamoja na baadhi ya media houses hapa kwetu jamani NMG ni level nyingine. Hapa Bongo hakuna media house utakayoilinganisha na NMG ambao ni wachapishaji wa The East African, Daily Nation, Taifa Letu huku Mwananchi Communications Ltd ikiwa ni subsidiary yake. Nikiwa kama mtu ninaependa kujifunza mambo mazuri let's accept ubora wa The East African.
siyo mara ya kwanza Tanzania kuwa na meli katika ziwa Nyasa,zilikuwepo siku nyingi na zilitumika kusafirisha abiria na mizigo kati ya nchi ya Malawi na Tanzania.Mbona huwa mnababaika ovyo kama kuku aliyekatwa kichwa. Kwani hapo gazeti limedanganya? Kwamba mnanunua meli zitumie ziwa Malawi mbona lipo. Sasa magazeti yasiandike.
Tatizo mumezoea kubembelezwa na magazeti hadi likitokea linaloandika ipasavyo mnalialia.
Magazeti yataandika taarifa tu maana hakuna namna.
siyo mara ya kwanza Tanzania kuwa na meli katika ziwa Nyasa,zilikuwepo siku nyingi na zilitumika kusafirisha abiria na mizigo kati ya nchi ya Malawi na Tanzania.
Lifungiwe tu maana hamna namna nyingine lifungiwe tu
Yes they are intelligent propagandists, that's what makes them more dangerous.
Hakika wewe ni miongoni mwa wale wanaojifanya watz kumbe ni raia wa nchi jirani. Hiyo NMG ni level nyingine kivipi? Mbona kawaida sana? Waulize wenzako uliowaacha kule jinsi sales za magazeti yenu zilivyoshuka. Hamna lolote nyie - kwishney!Hata kama tunasoma The East African wanafanya propaganda, let's be honest. Nimefanya kazi na NMG pamoja na baadhi ya media houses hapa kwetu jamani NMG ni level nyingine. Hapa Bongo hakuna media house utakayoilinganisha na NMG ambao ni wachapishaji wa The East African, Daily Nation, Taifa Letu huku Mwananchi Communications Ltd ikiwa ni subsidiary yake. Nikiwa kama mtu ninaependa kujifunza mambo mazuri let's accept ubora wa The East African.
Hata kama tunasoma The East African wanafanya propaganda, let's be honest. Nimefanya kazi na NMG pamoja na baadhi ya media houses hapa kwetu jamani NMG ni level nyingine. Hapa Bongo hakuna media house utakayoilinganisha na NMG ambao ni wachapishaji wa The East African, Daily Nation, Taifa Letu huku Mwananchi Communications Ltd ikiwa ni subsidiary yake. Nikiwa kama mtu ninaependa kujifunza mambo mazuri let's accept ubora wa The East African.
Hilo gazeti halisomwi tz nzima,linalatikana sana arusha,dar na mwanza kwenye newstand ya pale amana bank.Ndio wana.uandishi mzuri lakini haliuzi kama unavosema
Hivi mbona kila siredi hupo? Unafanya kazi kweli?Wangelibadilisha jina wakaita the Tanzanian sababu 95% ua headlines zao ni za tz majority ni zile negative
Acha ufinyu wa mawazo yako wewe. Silazimishi ukubali utanzania wangu. Kwa kifupi nimefanya kazi na print media za hapa home kuanzia New Habari, The Guardian, MCL na hata TSN sijaona standards nilizokutana nazo pale NMG. Kuanzia mazingira ya kazi hadi umahiri wa waandishi wa pale. Kama tunabishana kwa ushabiki I will not go for that ila kama lengo ni kujifunza, I will recommend our print media houses to learn from NMGHakika wewe ni miongoni mwa wale wanaojifanya watz kumbe ni raia wa nchi jirani. Hiyo NMG ni level nyingine kivipi? Mbona kawaida sana? Waulize wenzako uliowaacha kule jinsi sales za magazeti yenu zilivyoshuka. Hamna lolote nyie - kwishney!
Bila shaka,unayo maslahi ktk hilo.Mwisho wa siku Tanzania itanyenyekewa tu ktk East Africa.Time will tell.Sijasema linasomwa Tanzania yote, fahamu kwamba hili gazeti husomwa na watu wasiokua na uvivu wa kusoma na wenye uwezo wa kudadavua taarifa kwa kina. Sasa mliozoea uandishi wa mipasho na udaku, lazima hili mtalichambia tu maana hauwezi ukaelewa hata paragraph moja.
Kuna watu tukiamua kusoma magazeti, tunapitia kurasa moja baada ya nyingine, neno kwa neno na kuhakikisha tumefaidi kwa kila kilichoandikwa humo. Wazembe hamtanielewa.
Bila shaka,unayo maslahi ktk hilo.Mwisho wa siku Tanzania itanyenyekewa tu ktk East Africa.Time will tell.Sijasema linasomwa Tanzania yote, fahamu kwamba hili gazeti husomwa na watu wasiokua na uvivu wa kusoma na wenye uwezo wa kudadavua taarifa kwa kina. Sasa mliozoea uandishi wa mipasho na udaku, lazima hili mtalichambia tu maana hauwezi ukaelewa hata paragraph moja.
Kuna watu tukiamua kusoma magazeti, tunapitia kurasa moja baada ya nyingine, neno kwa neno na kuhakikisha tumefaidi kwa kila kilichoandikwa humo. Wazembe hamtanielewa.