nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,515
- 20,005
Kwa muda wa takribani wiki tatu,gazeti la tanzania daima limekuwa halipatikani mini kibaha sababu mtu aliyekuwa na mkataba wa kusambaza magazeti hayo haleti tena,kuna tetesi kwamba CCM wamepiga biti yasije tena....kumbuka hapa kibaha ndipo yule dogo MCHANGE,MGOMBEA WA CHADEMA alishinda na kuchakachuliwa