taamu
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 10,158
- 8,046
mwambie anaitwa na mange kimambi.Kimbelembele @ work! Hebu jaribu kufanya kazi kihalali basi siyo kuishi kuwa mpambe wa watu
mwambie anaitwa na mange kimambi.Kimbelembele @ work! Hebu jaribu kufanya kazi kihalali basi siyo kuishi kuwa mpambe wa watu
mwambie anaitwa na mange kimambi.
huyo msaidizi wa ngowi kwani umemtaja jina?
pale alipokaa konda sio hapo
Le mutus, ungekuja na picha nyingine inayothibisha kuwa huyu si Makonda.
Maana kuwa dukani au Ikulu siyo issue in kwamba we we unasema huyu so Makonda. Basis tuwekee hapa ushahidi ili tuamini kuwa huyo so Makonda ni MTU mwingine.
La sivyo kama huna ushaidi Nenda kwa Makonda akunulie Konyagi ushtue
kuchukiwa pia ni sehemu ya ubinaadamu makonda hapendwi.na kama ni wivu waliuanza baada ya kumpiga warioba.usuwalazimishe watu wafanane.hawampendi le mutuz na vilevile hawampendi makonda.la wivu wasema wewe.Wivu mbaya sana. Huyu Makonda mnamuonea wivu tu, hii ni moja ya haiba ya watz tulio wengi, wivu, uzandiki, fitna, hatutaki wengine wafanikiwe.
Le Mutuz kaleta habari kama wengine mnavyoleta habari zenu, kwa nini mumshambulie yeye bila kujadili hoja.
- Gazeti la Mawio jana liliandika habari ya KUTUNGA na ya UONGO likiwa na nia ya kumdhalilisha Mkuu wa Wilaya ya Kinodnoni Mh. Makonda kwamba alipewa Ukuu wa Wilaya kwasababu aliwahi kumfunga kamba za viatu Mtoto wa Rais wa zamani Dr. JK huku likionyesha picha ambayo Mtoto huyo wa Rais wa zamani na Mbunge wa Chalinze (CCM) Mh. Ridhiwani Kikwete akifungwa kamba viatu na mtu ambaye sio Mkuu huyo wa Wilaya ya Kinondoni.
- Ukweli ni kwamba picha hiyo ni ya Mh. Ridhiwani akifungwa kamba za viatu na Msaidizi wa Mwanamitindo maarufu hapa nchini Sheria Ngowi na kitendo hicho kilifanyika Dukani kwa Mwanamitindo huyo Masaki. Gazeti la Mawio linaonekana kuzibeba habari hizo kwenye mtandao wa kijamii hasa wa Instagram bila kufanyia UTAFITI na UKWELI wa habari hii.
- Sijui sheria inasema nini unapotokea udhalilishaji kama huu, tabia ya kubeba habari za Instagram bila kuzifanyia utafiti inaonekana kuwatesa mpaka baadhi ya Watendaji wa Serikali, mimi nafikiri ni muhimu sana Gazeti la Mawio likaomba radhi hasa kwa sisi wasomaji wake kwa kutulisha habari ya uongo.
Le Mutuz Nation
- Gazeti la Mawio jana liliandika habari ya KUTUNGA na ya UONGO likiwa na nia ya kumdhalilisha Mkuu wa Wilaya ya Kinodnoni Mh. Makonda kwamba alipewa Ukuu wa Wilaya kwasababu aliwahi kumfunga kamba za viatu Mtoto wa Rais wa zamani Dr. JK huku likionyesha picha ambayo Mtoto huyo wa Rais wa zamani na Mbunge wa Chalinze (CCM) Mh. Ridhiwani Kikwete akifungwa kamba viatu na mtu ambaye sio Mkuu huyo wa Wilaya ya Kinondoni.
- Ukweli ni kwamba picha hiyo ni ya Mh. Ridhiwani akifungwa kamba za viatu na Msaidizi wa Mwanamitindo maarufu hapa nchini Sheria Ngowi na kitendo hicho kilifanyika Dukani kwa Mwanamitindo huyo Masaki. Gazeti la Mawio linaonekana kuzibeba habari hizo kwenye mtandao wa kijamii hasa wa Instagram bila kufanyia UTAFITI na UKWELI wa habari hii.
- Sijui sheria inasema nini unapotokea udhalilishaji kama huu, tabia ya kubeba habari za Instagram bila kuzifanyia utafiti inaonekana kuwatesa mpaka baadhi ya Watendaji wa Serikali, mimi nafikiri ni muhimu sana Gazeti la Mawio likaomba radhi hasa kwa sisi wasomaji wake kwa kutulisha habari ya uongo.
Le Mutuz Nation
- Gazeti la Mawio jana liliandika habari ya KUTUNGA na ya UONGO likiwa na nia ya kumdhalilisha Mkuu wa Wilaya ya Kinodnoni Mh. Makonda kwamba alipewa Ukuu wa Wilaya kwasababu aliwahi kumfunga kamba za viatu Mtoto wa Rais wa zamani Dr. JK huku likionyesha picha ambayo Mtoto huyo wa Rais wa zamani na Mbunge wa Chalinze (CCM) Mh. Ridhiwani Kikwete akifungwa kamba viatu na mtu ambaye sio Mkuu huyo wa Wilaya ya Kinondoni.
- Ukweli ni kwamba picha hiyo ni ya Mh. Ridhiwani akifungwa kamba za viatu na Msaidizi wa Mwanamitindo maarufu hapa nchini Sheria Ngowi na kitendo hicho kilifanyika Dukani kwa Mwanamitindo huyo Masaki. Gazeti la Mawio linaonekana kuzibeba habari hizo kwenye mtandao wa kijamii hasa wa Instagram bila kufanyia UTAFITI na UKWELI wa habari hii.
- Sijui sheria inasema nini unapotokea udhalilishaji kama huu, tabia ya kubeba habari za Instagram bila kuzifanyia utafiti inaonekana kuwatesa mpaka baadhi ya Watendaji wa Serikali, mimi nafikiri ni muhimu sana Gazeti la Mawio likaomba radhi hasa kwa sisi wasomaji wake kwa kutulisha habari ya uongo.
Le Mutuz Nation
View attachment 311637
Hahahaha Le Mutuz hata kuku zitakucheka kuwa unadanganya.
huyo ni makonda wala hakuna ubsh kubenea hawezi kutudanganya waga ni mkweli siku zote