Gazeti la Jamhuri: Zitto ANYUKWA, Ndege mpya iliyonunuliwa ikiendelea Kutengenezwa

Pombe alitaka kutupiga, sipati picha hasira zake. Ukute ndio maana hakuweza hata kwenda msibani.
 
New-Doc-2017-05-09_9.jpg
Zitto ni mbinafsi sitaki kumsikia,
 
watnzania ndiyo wamenyukwa na tapeli aliyejifanya dalali kwenye ununuzi wa hizi ndege.

Unajua hawa Jamhuri, badala ya kufanya uchunguzi wa alichoongea Zitto, wameenda kufanya uchunguzi wa kuisafisha serikali. Na bahati mbaya habari nimeisoma yote, haina hata mashiko. Ni habari inayoonyesha kwamba habari aliyoitoa Zitto Kabwe zina mlengo wa maslahi kati ya Airbus na Boing. Kwamba inawezekana Airbus ndiyo wanaeneza uongo kwa kuwa eti wamekosa tenda. Lakini hata ukiisoma habari yote, utagundua kwamba wanajikanganya sana katika maelezo yao, kitu kinachoonyesha kwamba walikuwa wanaandika kwa maelekezo maalumu. Hata hivyo, juhidi zao zimelipa maana wamepata matangazo kibao toka serikali na mashirika ya umma. Page 8 ya gazeti ina tangazo la EWURA (full page) , page 9 kuna Tanngazo la Water Institute (1/4 page), Page 20 - 21 wana tangazo la PPF (ukurasa mmoja na Nusu).
Ukiona matangazo ya serikali yamerundikwa kwenye gazeti la uchunguzi, jiulize mara mbili mbili .
 
vita ya kiuchumi. Ukifanikiwa kuwatumia wenyeji kuhujumu nchi yao, mafanikio hayo huwa ni ushindi mkubwa kwa mahasimu. Ni mbaya sana iwapo kuna Wa TZ wanaweza kuwa wanatumika kuiumiza nchi kwa maslahi binafsi ijapokuwa kwa ZZK siwezi kushangaa.
 
Mimi bado nina imani na Zitto haya ya Jamhuri nangojea. Kwakuwa toka TRA wakanushe hadharani madai ya tozo ya VAT kwa vocha za simu kwa mteja lakini hatimaye imekuwa kama alivyoeleza Zitito tunatozwa nitaendelea kumuamini sana kwa hoja zake za kitafiti.
hebu elezea hilo la vat kwenye vocha tukukamate uongo
 
Tunawezaje kuhitimisha hoja ya msingi kama hii kwa kuchukua ushahidi toka kweny gazeti??! Kwa nini tusisubili msemaji wa wizara /serikari akaleka details za kuaminina ili tufunge mjadala huu!!?
 
Hivi Zitto na Mkumbo ni wapinzani Bukililo?
Upinzani una maana pana sana. Uwe ni mpinzani uwe ni mwana CCM, lengo ni moja tu, kuhakikisha Tanzania na matarajio ya watanzania wanaweza kufikiwa.

Hizi siasa za pale bungeni za wabunge wa CCM kukaa upande wao na wale wa upinzani kukaa upande mwingine, kwa maisha yetu ya kiafrika ni mbwembwe tu, pande zote mbili zina lengo moja, kama ukiyatazama mambo kwa undani.
 
Nyumbu saidia kuonyesha ukweli na uongo wa alichoandika Jamhuri sio kupiga najungu tu. Jamhuri walitaka kujiridhisha nani kasema ukweli kati ya Zito na Serikali na kwa kupitia cover la mkataba kama umeoliona na kuelewa ni a new built aircraft. Ukweli uko wazi tuache siasa.

Unajua hawa Jamhuri, badala ya kufanya uchunguzi wa alichoongea Zitto, wameenda kufanya uchunguzi wa kuisafisha serikali. Na bahati mbaya habari nimeisoma yote, haina hata mashiko. Ni habari inayoonyesha kwamba habari aliyoitoa Zitto Kabwe zina mlengo wa maslahi kati ya Airbus na Boing. Kwamba inawezekana Airbus ndiyo wanaeneza uongo kwa kuwa eti wamekosa tenda. Lakini hata ukiisoma habari yote, utagundua kwamba wanajikanganya sana katika maelezo yao, kitu kinachoonyesha kwamba walikuwa wanaandika kwa maelekezo maalumu. Hata hivyo, juhidi zao zimelipa maana wamepata matangazo kibao toka serikali na mashirika ya umma. Page 8 ya gazeti ina tangazo la EWURA (full page) , page 9 kuna Tanngazo la Water Institute (1/4 page), Page 20 - 21 wana tangazo la PPF (ukurasa mmoja na Nusu).
Ukiona matangazo ya serikali yamerundikwa kwenye gazeti la uchunguzi, jiulize mara mbili mbili .
 
Unajua hawa Jamhuri, badala ya kufanya uchunguzi wa alichoongea Zitto, wameenda kufanya uchunguzi wa kuisafisha serikali. Na bahati mbaya habari nimeisoma yote, haina hata mashiko. Ni habari inayoonyesha kwamba habari aliyoitoa Zitto Kabwe zina mlengo wa maslahi kati ya Airbus na Boing. Kwamba inawezekana Airbus ndiyo wanaeneza uongo kwa kuwa eti wamekosa tenda. Lakini hata ukiisoma habari yote, utagundua kwamba wanajikanganya sana katika maelezo yao, kitu kinachoonyesha kwamba walikuwa wanaandika kwa maelekezo maalumu. Hata hivyo, juhidi zao zimelipa maana wamepata matangazo kibao toka serikali na mashirika ya umma. Page 8 ya gazeti ina tangazo la EWURA (full page) , page 9 kuna Tanngazo la Water Institute (1/4 page), Page 20 - 21 wana tangazo la PPF (ukurasa mmoja na Nusu).
Ukiona matangazo ya serikali yamerundikwa kwenye gazeti la uchunguzi, jiulize mara mbili mbili .
wEWE ULIYESOMA BILA KUWEKA HUO MCHANGANYIKO NDIO UNAKOSA MAANA HAYA YA KUANDIKA HAYO YOTE. NAONA SPEED YOTE ULIKUWA UNATAKA KUTAFUTA EXCUSE YA HAYO MATANGAZO. HAPA HATUANGALII MATANGAZO WALA KUTUMIKA JEE WANACHOANDIKA KINA MANTIKI. UCHAMBUZI WAKO UNAKIWANGO CHA WIVU NA HISIA HASI
 
Nayakumbuka madudu ya rada, ndege ya Rais, Richmond na Mv UOZO. Kama CAG angehusishwa toka mwanzo tusingepigwa mabilioni chungu nzima katika manunuzi yale. Hivyo kwenye huu ununuzi wa ndege CAG ni lazima ahusishwe mapema sana before it is too late.

Haya mambo ya CAG kuja kukagua wakati tumeshapigwa kwenye hili tunaweza kuliepuka.

Kabla ya kwenda huko, Ni kuthibitisha kuwa hiyo ndege sio TT na ni Ile mpya ambayo price yake inajulikana duniani kote haiihitaji CAG itakuwa ni matumizi mabovu ya kodi za wananchi. Boeing na Serikali wathibitishe ili Queries zote zijibiwe na wakosoaji wa huo ununuzi wanyamaze. Kama ikidhibitika ni Brand New Boeing 787 na sio TT basi automatically mengine yote yanavapourize na kupotea. Hayo mengine Sijui. Ndio maana Wakosoaji wanapaswa kupinga hicho kilichoandikwa kwenye gazeti kwa facts sio Mange kasema au ZZK anatuhumu. Hivyo tu haitoshi...
 
Kaka hata picha umeshindwa kusoma...? Bombadier sio wide body airliner. Boeing na airbus ndio wana wide body. Hiyo Boeing

Siyo Boeing.
1. Ni Airbus Assembly Line
2. Ni Airbus A320 Family
3. Construction Line Number 4356 au 4756 (haionekani vizuri)
4. It is so simple unaweza ukaona distinct feature of typical Airbus A320 windsheild straight across the bottom and a "notched" window.
ATCL Boeing 787-8 Dreamliner Construction Line Number 719 haionyeshi popote kwenye picha
787-8,9,10 has total 4 piece windshield sio kama kwenye picha ambayo inaonyesha 3 piece windshield (visible) na 3 piece (not visible) upande mwingine.
 
una uhakika gani kama hii ndio Boing ya TZ..! ?

UKIINGIA GOOGLE HATA SASA, UTAPATA PICHA HATA ZA MELI ZIKIWA KWENYE MATENGENEZO? Nashindwa kuziweka hapa na kusema ni Bakressa kaagiza, sasa inatengenezwa?

Kuweka picha hiyo front page haina maana kuwa ni ya TZ, ..? Wahusika wajibu hoja za Zitto
Nyie mbumbumbu kweli sasa kama hamuamini hiyo picha inakuwaje muamini ndege inayotengenezwa ni tt wakati haujaona picha yake. You guys mko biased vibaya sana
 
Back
Top Bottom