February 29, 2020
Prof. Florens Luoga, Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) aongea na kujibu maswali mbalimbali kuhusu hali ya kiuchumi, bei za mazao, biashara na fedha Tanzania.
PART I
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania
Sera ya BoT ya sarafu safi, mzunguko wa fedha, kusimamia mabenki, noti bandia.
Source: Millard Ayo
====
Akizungumzia malalamiko ya wananchi kuhusu pesa kupungua kwenye mzunguko, Prof Luoga amesema:
“Haiwezekani kuwa na upungufu katika mzunguko. Benki Kuu kila asubuhi lazima tukutane kuangalia hali ya ukwasi katika mabenki, na kila benki sisi tunaiona ina pesa kiasi gani. Kama kuna benki yoyote ambayo tunaona haina pesa ya kutosha kuweza kufanya malipo, mara moja tunachukuwa jukumu la kutoa mkopo kwa benki ile. Tunaweza hata kutoa mkopo wa masaa tu.”
Kuhusu pesa bandia
“Itabidi tuendelee kuongeze elimu ya utambuzi wa noti ili ujue pesa zilizopo kwenye mzunguko ni pesa halali ama ni pesa bandia, kwasababu tumeshapata tatizo na tumewakamata watu wasiopungua sita, saba.”
Prof. Florens Luoga, Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) aongea na kujibu maswali mbalimbali kuhusu hali ya kiuchumi, bei za mazao, biashara na fedha Tanzania.
PART I
- Thamani ya Shillingi ya Tanzania na exchange rate kimataifa
- Mfumuko wa bei unacheza 3% kwa muda mrefu
- Bei ya chakula na mazao kupanda / shuka
- Umuhimu wa kusindika mazao ili kuhimili panda shuka ya bei
- Mkulima na mikopo / bima / insurance ya mazao
- Kilimo bora kikubwa cha umwagiliaji
- Mambo mengi kama sera kabambe za kiuchumi hayajatekelezwa ili kuleta utulivu wa kiuchumi
- Nini maana ya Tanzania ya viwanda na viwanda viwe vya kuchakata mazao ya kilimo ndiyo jibu la kutatua misukosuko ya kiuchumi
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania
Sera ya BoT ya sarafu safi, mzunguko wa fedha, kusimamia mabenki, noti bandia.
Source: Millard Ayo
====
Akizungumzia malalamiko ya wananchi kuhusu pesa kupungua kwenye mzunguko, Prof Luoga amesema:
“Haiwezekani kuwa na upungufu katika mzunguko. Benki Kuu kila asubuhi lazima tukutane kuangalia hali ya ukwasi katika mabenki, na kila benki sisi tunaiona ina pesa kiasi gani. Kama kuna benki yoyote ambayo tunaona haina pesa ya kutosha kuweza kufanya malipo, mara moja tunachukuwa jukumu la kutoa mkopo kwa benki ile. Tunaweza hata kutoa mkopo wa masaa tu.”
Kuhusu pesa bandia
“Itabidi tuendelee kuongeze elimu ya utambuzi wa noti ili ujue pesa zilizopo kwenye mzunguko ni pesa halali ama ni pesa bandia, kwasababu tumeshapata tatizo na tumewakamata watu wasiopungua sita, saba.”