Askari Kanzu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 4,598
- 1,233
gauni haliwashi wanatoa chupi imeingia kwenye mstari wa equator
chupi za kuazima hizo zinawapwaya
Bikini kwenye tafrija ya ndoa?bikini imezama sasa wanajitahidi kuiweka sawa
Wote wana chawa
Al Zagawi umepatia, chawa huwaga wanakuwa kwenye nywele. Sasa usisahau mavuzi. Kuna wazungu wengi tu wenye chawa kwenye mavuzi. Trust me!mkuu umenikumbusha enzi za mwalimu..hivi hawa wadudu chawa bado wapo kweli?
lakini nadhani chawa mara nyingi wanakuwa kwenye nywele...hao wazungu watakuwa na kunguni maana kunguni wana tabia ya kujificha kwenye nguo halafu wanakung'ata wakati utapoivaa hiyo nguo. wakishaanza hiyo kazi unakuwa hutulii kama hiki kijamaa hapa:dance: