Kwa wale waliyowahi pita CIVE : Dr. Masoud Masoud kapelekwa DIT, Prof.Mvuma kateuliwa VC MUST na Prof.Anatory kateuliwa DVC MUST.Najiuliza kwanini hawa watu muhimu sana kwenye college ya CIVE na chuo kwa ujumla wanaondolewa ndani ya muda mfupi hivi ?????