Gaudensia Kabaka aeleza sababu za kuzuia Ujenzi wa Msikiti UDOM na kuhamisha wafanyakazi wa hapo

Acheni mambo Ya UDINI, tena ukizingatia dini zote zilikuja kwa Meli

Sote ni ndugu
Nyie watu bhana mna shida,hali hiyo ikitokea kwa wakristo si tatizo na si udini ila ikitokea kwenye idara au shirika waislamu wakawa wengi ni udini rejeeni nssf wakati Dau.Kiufupi baadhi ya wakristo huwa hawaridhiki kuona muislamu yuko ktk nafasi fulani ya kiuongozi watafanya kila hila ilimradi wampake matope hiyo muislamu,ili aonekane hana uwezo hafai na kila aina ya matope watampaka.Mfano hebu dhania ktk hali ya sasa rais Wa nchi angekuwa mislamu,ungesikia kila jumapili wakati wa ibada zinatolewa lugha kali na kushutumu na hata wangesema rais nchi imemshinda.lakini Leo wote kimya kama vile watanzania kwa sasa tumakula kuku ni unafiki mtupu,ndio maana mabadiliko ya kweli ktk nchi hii in vigumu kufikiwa kutokana na unafiki walionao wakristo wengi ktk nchi hii. Wao huwa msmamo wao hutegemea ni dini gani yupo ofisini ,hata kama atawaumiza wananchi madhali ni dini yake hatofungua mdomo wake kukemea.rejeeni misimamo yao wakati wa mwinyi na kikwete na nyakati za Mlm nyerere,mkapa na sasa jpm.Pamoja uduni wote Wa maisha wakati JKN tunalazimishwa leo tumuone mtakatifu natusiseme mabaya yake ambayo ni mengi pengine kuliko mema yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna manufaa gani wanafunzi wa Kikristo wanayoyapata zaidi ya wanafunzi wa Kiislam kutoka na chuo kuwa na Wakristo wengi?,Je walipokwepo hao Waislam walioondolewa mliwahi kunufaika moja kwa moja na Uislamu wao kiasi kwamba sas hivi mnakosa hayo manufaa?.
 
Nyie watu bhana mna shida,hali hiyo ikitokea kwa wakristo si tatizo na si udini ila ikitokea kwenye idara au shirika waislamu wakawa wengi ni udini rejeeni nssf wakati Dau.Kiufupi baadhi ya wakristo huwa hawaridhiki kuona muislamu yuko ktk nafasi fulani ya kiuongozi watafanya kila hila ilimradi wampake matope hiyo muislamu,ili aonekane hana uwezo hafai na kila aina ya matope watampaka.Mfano hebu dhania ktk hali ya sasa rais Wa nchi angekuwa mislamu,ungesikia kila jumapili wakati wa ibada zinatolewa lugha kali na kushutumu na hata wangesema rais nchi imemshinda.lakini Leo wote kimya kama vile watanzania kwa sasa tumakula kuku ni unafiki mtupu,ndio maana mabadiliko ya kweli ktk nchi hii in vigumu kufikiwa kutokana na unafiki walionao wakristo wengi ktk nchi hii. Wao huwa msmamo wao hutegemea ni dini gani yupo ofisini ,hata kama atawaumiza wananchi madhali ni dini yake hatofungua mdomo wake kukemea.rejeeni misimamo yao wakati wa mwinyi na kikwete na nyakati za Mlm nyerere,mkapa na sasa jpm.Pamoja uduni wote Wa maisha wakati JKN tunalazimishwa leo tumuone mtakatifu natusiseme mabaya yake ambayo ni mengi pengine kuliko mema yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
pamoja sana nadhani wanaamini muislam kupata cheo ni dhambi nchi hii, tena utashambuliwa sana ili uonekane hufai
 
Kuna manufaa gani wanafunzi wa Kikristo wanayoyapata zaidi ya wanafunzi wa Kiislam kutoka na chuo kuwa na Wakristo wengi?,Je walipokwepo hao Waislam walioondolewa mliwahi kunufaika moja kwa moja na Uislamu wao kiasi kwamba sas hivi mnakosa hayo manufaa?.
kamulize VC je kuwatoa wale wanataaluma ndio kutatua tatizo?
 
Mleta uzi huu huna busara na wala hujui kuchambua mambo yalivyo kwa uhalisi wake. Kilichokuwa kinalalamikiwa sio viongoz wa kiislamu kujazana UDOM bali maamuzi yaliyokuwa yanafanywa na hao viongoz ambayo yalikuwa yamekaa kiupendeleo wa kidini.

Mfano hai ni wakristu kuzuiwa kujenga kanisa enzi hizo wakat walifuata process zote, ndipo wakaamua kimya kimya bila kelele kwenda kununua eneo lao nje ya chuo. Lkn leo hii waislam wamekuja kujenga msikiti tena bila kibali why? Kwa hiyo hizo double standarda ndizo zilikuwa zinaleta migongano pale UDOM.

Halafu mwanzoni umeanza kwa kusema Tanzania kuna upungufu wa lecturers kwa asilimia 62. Lkn hao uliowaorodhesha wote sio lecturers ni watendaji/administrators ambao kimsingi kuhamishwa kwao hakuathiri staffing iliyopo hapo UDOM. Tatzo lako umekuja kwa jazba san bila kufanya upembuzi yakinifu.

Rudi ukajipange upya.


YANAYOENDELEA UDSM & UDOM YANATUPA SOMO GANI KUHUSU TAASISI ZA ELIMU YA JUU? - JamiiForums
tuthibitishie kama kweli Wakristo walizuiwa kama huna ushahidi wa kuonekana kwa macho basi kaa kimya maana hatutaki ooh fulani alisema , kama una barua tuoneshe kwani kwa Waislam ushahidi uko wazi jumba kubomolewa
 
Hahaaaaaaa duniani kuna mambo. Mtoa mada takwimu zisizo lasimi sana zinasema kila usaili unaofanywa wa kada mbalimbali kati ya wakiristo na waislamu wanaomba nafasi hizo huwa ni kumi kwa tano hapo ni written paper tukija kwenye oral kati ya wakristo na waislamu huwa ni kumi kwa mbili.


Kwa mantiki hiyo kadri ya idadi ya dini fulani wanavyoomba wengi hizo nafasi ndivyo probability ya wengi kupata kuliko wale walioomba wachache.


Kiujumla Tanzania waislamu wanapenda biashara kuliko shule. Na hata wasomi sio wengi kama wakristo. Mi shule ya msingi darasa la kwanza hadi la saba tulikuwa wakristo tu ila sekondari o'level walau walikuwepo na advance walikuwa waislamu 4 tu kati ya 56 kwa darasa hadi Mwalimu Njunwa aliwambia bora wahamie tu ukiristo(alichekesha darasa)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
*UKWELI KUHUSU SAFU YA UONGOZI UDOM NA DHANA YA UDINI*

Chuo Kikuu cha Dodoma kimekuwa na idadi ndogo sana ya wafanyakazi waislamu ukilinganisha na wakristo. Lakini Pia Chuo hicho kimekuwa hakiishi kuomba vibali vya ajira utumishi kwaajili ya kujaza uhaba wa nafasi mbalimbali za wanafanyakazi, Lakini ni jambo la kushangaza leo hii wanawatoa waislamu ingalikua ni wachache, Wakati mahitaji ya PhD nchini ktk vyuo vikuu ni asilimia 38% tuu, bado kuna uhaba wa asilimia 62% ya mahitaji hayo. Ni jambo la kushangaza kuondoa watu hawa ingalikua bado kuna mahitaji lakini kwa kua ni waislamu wameondolewa. Safu ya uongozi Chuoni hapo ni hii

1.Mkuu wa chuo (Chancellor): Rais Mstaafu Mheshimiwa Benjamin W. Mkapa (Mkristo)
2.Makamu Mkuu wa Chuo (VC) ambaye ndiye Mtendaji Mkuu ni Prof. Peter msoffe (Mkiristo) huyu ana kaimu baada ya Kifo cha aliyekuwa makamu mkuu wa Chuo ambaye pia alikuwa mkristo Prof. Egid Beatus Mubofu.
3.Wasaidizi wakuu 2 wa Makamu Mkuu wa Chuo ni
i.Prof. Peter Msoffe (Mkristo) [Taaluma, Utafiti na Ushauri] na
ii.Prof. Ahmed Ame (Muislam) [Mipango, Fedha na Utawala].
4.Msarifu wa Chuo ni Mohammed Mwandege (Muislam) -AMEHAMISHWA
5.Mkurugenzi wa Utawala wa Rasilimali Watu ni Mama Subira Sawasawa (Muislam)-AMEHAMISHWA.
6.Afisa manunuzi Mr. Simba Omary (Muislam) AMEHAMISHWA
7.Mkurugenzi wa Mipango Bi. Bitakala (Mkiristo)
8.Mkaguzi wa Ukaguzi wa ndani Bw. Nyabange (Mkiristo)
9.Meneja miliki Eng. James Noel (Mkiristo)
10.Mkurugenzi wa Shahada za juu ni Dr. Mariam Hamisi (Muislam)-AMEHAMISHWA
11.Mkurugenzi wa Uhakiki wa Ubora wa Taaluma ni Dr. Alex shayo (Mkristo)
12.Mkurugenzi wa Maktaba ni Dr. Grace Msoffe, ambaye ni Mke wa Kaimu MAkamu Mkuu wa Chuo Prof. Peter Msoffe (Mkristo)
13.Mkurugenzi wa Shahada za Awali ni Dr. L. Mtahabwa (mkiristo)
14.Mkurugenzi wa Utafiti na Uchapishaji ni Prof. Flora Fabian Mbatia (Mkristo)
15.Mkurugenzi wa ICT ni Dr. G. Moshi (mkristo)
16.Mkuu wa chuo cha elimu (college of Education) – Dr. Enedy Mlaki (Mkiristo) ambaye pia ni mkuu wa skuli akisaidiwa na mkuu mwingine wa skuli Dr. William Francis (Mkristo)
17.Mkuu wa chuo cha sayansi ya jamii (College of social sciences and humanities): Prof. A. Tenge (Mkristo) akisaidiana na wakuu wa skuli Dr. R. Kilonzo (Mkristo) na Prof F. Nyoni (Mkristo)
18.Mkuu wa chuo cha sayansi ya kompyuta ni Prof. Mvuma (Mkristo) akisaidiwa na Prof. L. Mselle (Mkristo) na Dr. Mrutu (Muislam)
19.Mkuu wa Chuo cha Elimu za Biashara na Sheria ni Dr. A. Tegambwage (Mkiristo), ambaye pia ni mkuu wa Skuli
20.Mkuu wa Chuo cha Sayansi za Asili na Hisabati ni Prof. S. Vuai (Muislam) aksiaidiwa na Dr. Rubanza (Mkiristo), Dr. Sunzu (Mkiristo) na Dr. Makangara (Mkristo)
21.Mkuu wa Chuo cha Sayansi za Tiba ni Prof. Ipyana (Mkiristo) akisaidiwa na Dr. Hamim R (Muislam) na Dr. S. Kibusi
22.Mkuu wa Chuo cha sayansi za Ardhi ni Dr. Kombe, G (Mkiristo) ambaye pia ni mkuu wa skuli akisaidiwa na Dr. Lema (Mkiristo)
23.Mwanasheria wa Chuo, Bi. Christina (Mkiristo)
Wewe ni mpumbavu tena niwakupuuzwa na jamii unaacha kupambana na hari ngumu ya maisha unayokukabili unahangaika na mambo ya udini,chuo kizima cha UDOM hata kingekuwa na watumishi wote asilimia100% wangekuwa ni waislam wewe ungefaidika nini,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niko nje ya mada kidogo Niko na watani zangu wa jf wahaya ngoja niwaite kidogo instanbul na The Great Haya Sisi hatutajadili udini, tutajadili battle hapo Kati ya Chagas na hayas Nan kampiku mwenzie?( kwa lengo la ushindan wa kielimu sii vinginevyo) Chagas kwakweli wamepiga kitabu sii mchezo
 
*UKWELI KUHUSU SAFU YA UONGOZI UDOM NA DHANA YA UDINI*

Chuo Kikuu cha Dodoma kimekuwa na idadi ndogo sana ya wafanyakazi waislamu ukilinganisha na wakristo. Lakini Pia Chuo hicho kimekuwa hakiishi kuomba vibali vya ajira utumishi kwaajili ya kujaza uhaba wa nafasi mbalimbali za wanafanyakazi, Lakini ni jambo la kushangaza leo hii wanawatoa waislamu ingalikua ni wachache, Wakati mahitaji ya PhD nchini ktk vyuo vikuu ni asilimia 38% tuu, bado kuna uhaba wa asilimia 62% ya mahitaji hayo. Ni jambo la kushangaza kuondoa watu hawa ingalikua bado kuna mahitaji lakini kwa kua ni waislamu wameondolewa. Safu ya uongozi Chuoni hapo ni hii👇🏼👇🏼

1.Mkuu wa chuo (Chancellor): Rais Mstaafu Mheshimiwa Benjamin W. Mkapa (Mkristo)
2.Makamu Mkuu wa Chuo (VC) ambaye ndiye Mtendaji Mkuu ni Prof. Peter msoffe (Mkiristo) huyu ana kaimu baada ya Kifo cha aliyekuwa makamu mkuu wa Chuo ambaye pia alikuwa mkristo Prof. Egid Beatus Mubofu.
3.Wasaidizi wakuu 2 wa Makamu Mkuu wa Chuo ni
i.Prof. Peter Msoffe (Mkristo) [Taaluma, Utafiti na Ushauri] na
ii.Prof. Ahmed Ame (Muislam) [Mipango, Fedha na Utawala].
4.Msarifu wa Chuo ni Mohammed Mwandege (Muislam) -AMEHAMISHWA
5.Mkurugenzi wa Utawala wa Rasilimali Watu ni Mama Subira Sawasawa (Muislam)-AMEHAMISHWA.
6.Afisa manunuzi Mr. Simba Omary (Muislam) AMEHAMISHWA
7.Mkurugenzi wa Mipango Bi. Bitakala (Mkiristo)
8.Mkaguzi wa Ukaguzi wa ndani Bw. Nyabange (Mkiristo)
9.Meneja miliki Eng. James Noel (Mkiristo)
10.Mkurugenzi wa Shahada za juu ni Dr. Mariam Hamisi (Muislam)-AMEHAMISHWA
11.Mkurugenzi wa Uhakiki wa Ubora wa Taaluma ni Dr. Alex shayo (Mkristo)
12.Mkurugenzi wa Maktaba ni Dr. Grace Msoffe, ambaye ni Mke wa Kaimu MAkamu Mkuu wa Chuo Prof. Peter Msoffe (Mkristo)
13.Mkurugenzi wa Shahada za Awali ni Dr. L. Mtahabwa (mkiristo)
14.Mkurugenzi wa Utafiti na Uchapishaji ni Prof. Flora Fabian Mbatia (Mkristo)
15.Mkurugenzi wa ICT ni Dr. G. Moshi (mkristo)
16.Mkuu wa chuo cha elimu (college of Education) – Dr. Enedy Mlaki (Mkiristo) ambaye pia ni mkuu wa skuli akisaidiwa na mkuu mwingine wa skuli Dr. William Francis (Mkristo)
17.Mkuu wa chuo cha sayansi ya jamii (College of social sciences and humanities): Prof. A. Tenge (Mkristo) akisaidiana na wakuu wa skuli Dr. R. Kilonzo (Mkristo) na Prof F. Nyoni (Mkristo)
18.Mkuu wa chuo cha sayansi ya kompyuta ni Prof. Mvuma (Mkristo) akisaidiwa na Prof. L. Mselle (Mkristo) na Dr. Mrutu (Muislam)
19.Mkuu wa Chuo cha Elimu za Biashara na Sheria ni Dr. A. Tegambwage (Mkiristo), ambaye pia ni mkuu wa Skuli
20.Mkuu wa Chuo cha Sayansi za Asili na Hisabati ni Prof. S. Vuai (Muislam) aksiaidiwa na Dr. Rubanza (Mkiristo), Dr. Sunzu (Mkiristo) na Dr. Makangara (Mkristo)
21.Mkuu wa Chuo cha Sayansi za Tiba ni Prof. Ipyana (Mkiristo) akisaidiwa na Dr. Hamim R (Muislam) na Dr. S. Kibusi
22.Mkuu wa Chuo cha sayansi za Ardhi ni Dr. Kombe, G (Mkiristo) ambaye pia ni mkuu wa skuli akisaidiwa na Dr. Lema (Mkiristo)
23.Mwanasheria wa Chuo, Bi. Christina (Mkiristo)
Tatizo nyie mna nguvu kuliko Mungu wenu!! hivyo mnajipa kazi ya kumtetetea na sio yeye kuwatetea.Kuna kipindi mlikuwa mnadai hata katika kufaulu kwenda level mbalimbali za elimu pia kuwe kunaangaliwa usawa wa dini. MNATAFUTA UPENDELEO.Mashule yenu yanaongoza kwa matokeo mabaya
 
Matokeo ya shule yanaonyesha watalaam wa fani mbalimbali na viongozi wengi wataendelea kuwa wakristo. Kwasababu ndio wanaofaulu vizuri.

Kwa nwenendo huu itafika mahali wataanza kulalamika mbona waislamu wachache vyuoni.
Itakuwa vigumu kulalamika kwamba Vyuo vikuu mbona Wakristo wengi wakati hali halisi imeonyesha toka miaka kibao nyuma. Labda Bakwata wachukue hatua kuhusu. Elimu kwani Hata Shule iliyopo pale pale nyuma ya ofisi yao matokeo mabaya miaka yote.

Halafu Ndg zetu waislam wanadhani Wakristo wote ni Fungu moja Sio kweli. Kuna tofauti na mlokole au mpentekoste hana ushirikiano na mkatoliki. Msabato ndio anaona wote wanaosali jumapili hawafai na hana ushirika nao.

Ila Wakatoliki na Protestanti ( yaani dini zote zisizomkataa Papa) na Sabato n.k. Wote wamewekeza vizuri kwenye elimu na hospitali na vyuo mbali mbali. Matokeo ndio haya darasa karibu lote Div 1

Nao wanaofaulu ndio wataenda vyuoni na kushika nafasi katika fani mbalimbali.

Hapa haijalishi unajenga makanisa au misikiti mingapi eneo la shule au chuo.
Hata ujaze ma lecturer, Profs, tutorial asst nk. Waislam wanaofauku ni wakristo.
Kwa hiyo hiyo ya UDOM ni trailer picha bado.
 
*UKWELI KUHUSU SAFU YA UONGOZI UDOM NA DHANA YA UDINI*

Chuo Kikuu cha Dodoma kimekuwa na idadi ndogo sana ya wafanyakazi waislamu ukilinganisha na wakristo. Lakini Pia Chuo hicho kimekuwa hakiishi kuomba vibali vya ajira utumishi kwaajili ya kujaza uhaba wa nafasi mbalimbali za wanafanyakazi, Lakini ni jambo la kushangaza leo hii wanawatoa waislamu ingalikua ni wachache, Wakati mahitaji ya PhD nchini ktk vyuo vikuu ni asilimia 38% tuu, bado kuna uhaba wa asilimia 62% ya mahitaji hayo. Ni jambo la kushangaza kuondoa watu hawa ingalikua bado kuna mahitaji lakini kwa kua ni waislamu wameondolewa. Safu ya uongozi Chuoni hapo ni hii

1.Mkuu wa chuo (Chancellor): Rais Mstaafu Mheshimiwa Benjamin W. Mkapa (Mkristo)
2.Makamu Mkuu wa Chuo (VC) ambaye ndiye Mtendaji Mkuu ni Prof. Peter msoffe (Mkiristo) huyu ana kaimu baada ya Kifo cha aliyekuwa makamu mkuu wa Chuo ambaye pia alikuwa mkristo Prof. Egid Beatus Mubofu.
3.Wasaidizi wakuu 2 wa Makamu Mkuu wa Chuo ni
i.Prof. Peter Msoffe (Mkristo) [Taaluma, Utafiti na Ushauri] na
ii.Prof. Ahmed Ame (Muislam) [Mipango, Fedha na Utawala].
4.Msarifu wa Chuo ni Mohammed Mwandege (Muislam) -AMEHAMISHWA
5.Mkurugenzi wa Utawala wa Rasilimali Watu ni Mama Subira Sawasawa (Muislam)-AMEHAMISHWA.
6.Afisa manunuzi Mr. Simba Omary (Muislam) AMEHAMISHWA
7.Mkurugenzi wa Mipango Bi. Bitakala (Mkiristo)
8.Mkaguzi wa Ukaguzi wa ndani Bw. Nyabange (Mkiristo)
9.Meneja miliki Eng. James Noel (Mkiristo)
10.Mkurugenzi wa Shahada za juu ni Dr. Mariam Hamisi (Muislam)-AMEHAMISHWA
11.Mkurugenzi wa Uhakiki wa Ubora wa Taaluma ni Dr. Alex shayo (Mkristo)
12.Mkurugenzi wa Maktaba ni Dr. Grace Msoffe, ambaye ni Mke wa Kaimu MAkamu Mkuu wa Chuo Prof. Peter Msoffe (Mkristo)
13.Mkurugenzi wa Shahada za Awali ni Dr. L. Mtahabwa (mkiristo)
14.Mkurugenzi wa Utafiti na Uchapishaji ni Prof. Flora Fabian Mbatia (Mkristo)
15.Mkurugenzi wa ICT ni Dr. G. Moshi (mkristo)
16.Mkuu wa chuo cha elimu (college of Education) – Dr. Enedy Mlaki (Mkiristo) ambaye pia ni mkuu wa skuli akisaidiwa na mkuu mwingine wa skuli Dr. William Francis (Mkristo)
17.Mkuu wa chuo cha sayansi ya jamii (College of social sciences and humanities): Prof. A. Tenge (Mkristo) akisaidiana na wakuu wa skuli Dr. R. Kilonzo (Mkristo) na Prof F. Nyoni (Mkristo)
18.Mkuu wa chuo cha sayansi ya kompyuta ni Prof. Mvuma (Mkristo) akisaidiwa na Prof. L. Mselle (Mkristo) na Dr. Mrutu (Muislam)
19.Mkuu wa Chuo cha Elimu za Biashara na Sheria ni Dr. A. Tegambwage (Mkiristo), ambaye pia ni mkuu wa Skuli
20.Mkuu wa Chuo cha Sayansi za Asili na Hisabati ni Prof. S. Vuai (Muislam) aksiaidiwa na Dr. Rubanza (Mkiristo), Dr. Sunzu (Mkiristo) na Dr. Makangara (Mkristo)
21.Mkuu wa Chuo cha Sayansi za Tiba ni Prof. Ipyana (Mkiristo) akisaidiwa na Dr. Hamim R (Muislam) na Dr. S. Kibusi
22.Mkuu wa Chuo cha sayansi za Ardhi ni Dr. Kombe, G (Mkiristo) ambaye pia ni mkuu wa skuli akisaidiwa na Dr. Lema (Mkiristo)
23.Mwanasheria wa Chuo, Bi. Christina (Mkiristo)
Nonesense

Sent using Jamii Forums mobile app
 
halaf nyie waislamu ni wapumbav sana! ujinga wenu wa kuendekeza dini badala ya kazi ndo maana mnakuwa wa mwisho kila jambo. au mnataka kutuletea alkaida au alshabab? sina kmbukumbu ya wakristo waliogombana na uislamu. kila wakati ni nyinyi tu. nakumbuka miaka hiyo nipo a-level lindi sec walitaka kuchoma shule eti kisa wanataka head boy awe muislamu. kuna wakati tena mlianza chokochoko eti wanyama wachinjwe na waislamu tu! ndo maana maeneo mengi walipo waislamu hakuna maendeleo. acheni upumbavu wenu. someni, mjitume kwenye kazi, acheni kulalamika. juzi mlikuja na madai ya kuvunjiwa msikiti, leo uongozi wa chuo, sijui kesho mtakuja na lipi? kama vipi badilisheni dini ili wote muwe wakristo. acheni kuendekeza udini
 
Back
Top Bottom