- Thread starter
- #21
Assumption yangu na uzoefu wangu kdg wa kuagiza magari Japan ninajua nikinunua price a huku hata ikizidi haifiki Mara mbili yake sasa nimeoverlook aina ya gari hilux kumbe ni gari ya starehe bongo!Kwanini hukuchek hio TRA calculator kabla hujaleta hio gari boss?