NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,803
- 637
Kuna habari tulizozipata hivi punde kwamba kwenye makutano ya barabara ya Nyerere na Kawawa gari la JWTZ limegonga gari ya askari polisi na kujeri baadhi na 1 kufa papo hapo sababu ni mwendo kasi na ubabe wa JWTZ, juhudi zakuwapata bado zinaaedndelea ila wamekimbilia pasipojulikana.
ndio jeshi letu hilo.....wenye nazo zaidi twende kazi.
ndio jeshi letu hilo.....wenye nazo zaidi twende kazi.