LEGE
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 5,123
- 9,168
Habari zenu wana jf katika pitapita zangu mida hii nimelifuma gari fuso lenye kibin nyeupe na box body ya blue namba T 264 ACA mkoani wa arusha maeneo ya lemara mabwawan kwan walikuwa wamelificha na kushusha mzigo ambao ulikuwa ni sheet ,angle line pamoja na cross section ndiyo hivyo nilivyofanikiwa kuvina kwa haraka haraka kwan wa2 walikuwa wanashusha vi2 hivyo kwenye fuso hiyo na kupakia kwenye pegeout.Kwa mwonekano wa haraka haraka 2 hao jamaa wanaonyesha waz kuwa mzigo huo ni wa wizi ama wamechakachua kiwandan au kunabosi alikuwa amenunua mzigo na aende akashushiwe ofisini kwake na haojamaa hawaja ushusha wote.
Lazima 2 kuna mtu atakuwa kalizwa.
Lazima 2 kuna mtu atakuwa kalizwa.